Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Eti funguJana wanetu walikua wanakufa nyau nyau😅😅 watu ikabidi wampe fungu refa wasiaibike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti funguJana wanetu walikua wanakufa nyau nyau😅😅 watu ikabidi wampe fungu refa wasiaibike
Sindano ndio ziliwakimbiza...Siwezi kutoa je wewe unaweza ukatoa sababu kama unazijua?
Siku kubwa pia!Mechi kubwa timu kubwa refa mkubwa mtangazaji mkubwa pia, safi kabisa
mkakati ni ule mechi 14 penati 6Hii tabia ya kumpa arajiga mechi za yanga halafu akina kayoko na mdoe ndio wanapewa mechi za simba imekaa kimkakati zaidi
Kumfuata my waoUnaweza kutoa sababu za Uto kukimbia Chamazi?
Bado dube hapo mwanangu sioYanga bingwa [emoji172][emoji169]
Tunashinda 4-0
Aziz Ki
Dube 2
Mzize
Hilo bomba moja la sindano lililokaa pale chumbani ndio useme Yanga wanajidunga sindano!?Sindano ndio ziliwakimbiza...
Wamanga wa Chamazi noma sana video za sindano wanetunza kwa studio 😂😂
Na jibu lako lisiwe la kishabiki mkuuNitafanya marejeo yangu binfasi ya video kesha ndio nitatoa jibu mkuu.
Maana mpira wenyewe nautizama kiwiziwizi sijatulia.
Unateseka ukiwa wapiLolote baya liwakute utopolo
Jana nilisema hii nechi yanga imefuata point 3 za ubwete toka kwenye tawi lake, nani hakuelewa?Twende kati😀😆😆😅
Au sioKikubwa ushindi! 😂
Kumbe walimfuata bwana wao hahahaaaa asante kwa kutoa siri 😂Kumfuata my wao
Humu wengi wananifahamu huwa naegemea ukweli sio mahaba niue.Na jibu lako lisiwe la kishabiki mkuu