Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Niliwaambia🤣🤣Yanga ya Dodoma Vs Yanga Dar
Bakari Vs Beka
Mohamed Vs Mudi
Abdallah Vs Dulla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwaambia🤣🤣Yanga ya Dodoma Vs Yanga Dar
Bakari Vs Beka
Mohamed Vs Mudi
Abdallah Vs Dulla
Huyo ananekana hajui boli akishiba akikaa kwenye kochi la shemeji yake anaongea kitu hakijui huyoHilo bomba moja la sindano lililokaa pale chumbani ndio useme Yanga wanajidunga sindano!?
Ukashindwa kufikiria kuwa Yanga ilicheza Caf champions league na ikafanya vizuri nyumbani na ugenini je sindano walizitoa wapi!??
Au hata walivyorudiana na Mamelody na kudhulumiwa goli lao kule Afrika kusini walijidunga sindano!??
Unatumia nini kufikiri na kutafakari mkuu!?
Waje mkuu 😂Team imeimalika Mazembe waje au bado?
Singida ni tawi la yanga namba moja, watapokeaje bahasha toka simba?Tar 28 Singida Wape Bahasha Ushinde Maana Hata Sare Uwezi
Watu wanasema Mbunge hapo jijini ndiyo tatizo. Wanasema kumbe ndiye hupeleka Ng'ombe Kwa ajili ya zile supu za kafara.
Kwenye mechi 10 walizocheza, Dodoma Jiji haijawahi kushinda hata Moja dhidi ya utopwinyo. Siku wakicheza na Simba Mbunge hutoa mpaka ahadi ya hela kama wakishinda!?
Hoja yako ni nini?Hilo bomba moja la sindano lililokaa pale chumbani ndio useme Yanga wanajidunga sindano!?
Ukashindwa kufikiria kuwa Yanga ilicheza Caf champions league na ikafanya vizuri nyumbani na ugenini je sindano walizitoa wapi!??
Au hata walivyorudiana na Mamelody na kudhulumiwa goli lao kule Afrika kusini walijidunga sindano!??
Unatumia nini kufikiri na kutafakari mkuu!?
Kwa hiyo ndo umedhamiria kutafutia sis ako apate mume?
Sina hoja mkuu nimeongea tu.Hoja yako ni nini?
Na kiemba nae muhuniKuna mtu muongo kama Ramadhan Mbwaduke🤣🤣
Timu kubwa kama Madrid, Man city, Arsenal, Yanga nk. Zinapangwa siku za sikukuu ili watu wafurahi wapate mtoko!Timu ndogo zinacheza cheza tu, .. hazina sikukuu
Waje tu.Team imeimalika Mazembe waje au bado?
😃😀😀Kastopu wochi kamchongo!!
😄😀😃😂
Kama unaamini kuwa sindano je kwasasa hivi hii performance kwanzia mechi dhidi ya Tp Mazembe, Mashujaa, Prisons na Dodoma imetokana na sindano?Sindano ndio ziliwakimbiza...
Wamanga wa Chamazi noma sana video za sindano wanetunza kwa studio [emoji23][emoji23]
Akikosa Yanga ubingwa achukue nani!?Yanga mshinde ila msahau ubingwa