Full Time: Dodoma Jiji 0-4 Yanga SC | NBC Premier League | Jamuhri Dodoma | Disemba 25, 2024

Full Time: Dodoma Jiji 0-4 Yanga SC | NBC Premier League | Jamuhri Dodoma | Disemba 25, 2024

Hilo bomba moja la sindano lililokaa pale chumbani ndio useme Yanga wanajidunga sindano!?
Ukashindwa kufikiria kuwa Yanga ilicheza Caf champions league na ikafanya vizuri nyumbani na ugenini je sindano walizitoa wapi!??
Au hata walivyorudiana na Mamelody na kudhulumiwa goli lao kule Afrika kusini walijidunga sindano!??

Unatumia nini kufikiri na kutafakari mkuu!?
Huyo ananekana hajui boli akishiba akikaa kwenye kochi la shemeji yake anaongea kitu hakijui huyo
 
Watu wanasema Mbunge hapo jijini ndiyo tatizo. Wanasema kumbe ndiye hupeleka Ng'ombe Kwa ajili ya zile supu za kafara.

Kwenye mechi 10 walizocheza, Dodoma Jiji haijawahi kushinda hata Moja dhidi ya utopwinyo. Siku wakicheza na Simba Mbunge hutoa mpaka ahadi ya hela kama wakishinda!?
 
Watu wanasema Mbunge hapo jijini ndiyo tatizo. Wanasema kumbe ndiye hupeleka Ng'ombe Kwa ajili ya zile supu za kafara.

Kwenye mechi 10 walizocheza, Dodoma Jiji haijawahi kushinda hata Moja dhidi ya utopwinyo. Siku wakicheza na Simba Mbunge hutoa mpaka ahadi ya hela kama wakishinda!?
20241218_171403.jpg
 
Hilo bomba moja la sindano lililokaa pale chumbani ndio useme Yanga wanajidunga sindano!?
Ukashindwa kufikiria kuwa Yanga ilicheza Caf champions league na ikafanya vizuri nyumbani na ugenini je sindano walizitoa wapi!??
Au hata walivyorudiana na Mamelody na kudhulumiwa goli lao kule Afrika kusini walijidunga sindano!??

Unatumia nini kufikiri na kutafakari mkuu!?
Hoja yako ni nini?
 
Back
Top Bottom