majebelenzoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 288
- 465
Acha uongo wewe, ulipewa na naniTulivyowafunga nyie goli 5 tulipewa milioni 25 za mama. Hivyo jibu umeshapata kuwa hata tukicheza na timu ndogo ndogo kama Simba ela zinagawawiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo wewe, ulipewa na naniTulivyowafunga nyie goli 5 tulipewa milioni 25 za mama. Hivyo jibu umeshapata kuwa hata tukicheza na timu ndogo ndogo kama Simba ela zinagawawiwa
Yes.Kama unaamini kuwa sindano je kwasasa hivi hii performance kwanzia mechi dhidi ya Tp Mazembe, Mashujaa, Prisons na Dodoma imetokana na sindano?
Kwahiyo Yanga alienda na sindano hadi Lubumbashi!??Yes.
Masindano yametamalaki😂😃😀😄
Ndio mwamba mambo yamekua marahisi First halfBado dube hapo mwanangu sio
Tusijidanganye wakuu, safari tunaishia hapa hapa makundiWaje tu.
Na hao kina MC alger watakipata wakija hapa.
Pamoja na huyo Al hilal.
Hoja yako ni nini?Kama unaamini kuwa sindano je kwasasa hivi hii performance kwanzia mechi dhidi ya Tp Mazembe, Mashujaa, Prisons na Dodoma imetokana na sindano?
Ngoja tuone hatujui.Tusijidanganye wakuu, safari tunaishia hapa hapa makundi
Milio hadi kuandika hauwezi😃😀😀😀😀😀Hoja yako ni nini?
Uto bado mnajitafuta huko CAFCL...
Najua hujui kama unajua mko mkiani huko kwa kundi lenu...
What the problem kwa timu bingwa kubuluzs mkia?
Kuna mmoja kashaanza kutoa milio 😁 😄Hili ndio boli sasa sio jana Papatu papatu
baadae lawama zisiende kwa GSM
Waje tu.
Na hao kina MC alger watakipata wakija hapa.
Pamoja na huyo Al hilal.
Lini mnapeleka kesi FIFA? Maana ushahidi mnao kwanini msiende kufungua kesi ili iwe funzo?Yes.
Masindano yametamalaki[emoji23][emoji2][emoji3][emoji1]
Ndio mkuu, unajua hawa jamaa na viwanja vyenye cctv hawapatani kabisa.Kama unaamini kuwa sindano je kwasasa hivi hii performance kwanzia mechi dhidi ya Tp Mazembe, Mashujaa, Prisons na Dodoma imetokana na sindano?
Hata msimu wa mwaka jana Yanga ilishika mkia hivi hivi ila ikapita kwa nafasi ya pili.Unayo Pointi Moja....Usijisahaulishe huko kimataifa Kazi ya ishaisha.
Hakuna kina mexime huko.
Tulishawahi kuwa mkiani hivi hivi baada ya mechi tatu na kuambulia point 2 tu hadi mkatukatia tamaa msimu uliopita na mwisho wa siku Yanga ikafuzu kwenye kundi gumu zaidi ya hili.Hoja yako ni nini?
Uto bado mnajitafuta huko CAFCL...
Najua hujui kama unajua mko mkiani huko kwa kundi lenu...
What the problem kwa timu bingwa kubuluzs mkia?