Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Jahazi taarab bandMkimaliza kushangilie msisahau kuchungulia msimamo 😬
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jahazi taarab bandMkimaliza kushangilie msisahau kuchungulia msimamo 😬
Fadlu labda ajifunze kwa IbengeFADLU ajifunze team inavyotakiwa kushambulia kwa mipango na njia zake...
wacha ukae ivo ivo wale nyau wasio tazama mpira wajua yanga bado ana 3 wakija kustuka tuna goli 6Mods badilisha ubao
Angalis vizuri pake golini kulikua nachezaji wakati dube anafunga.Aisee jamani hili goli la nne sio offside kweli
utalalamika vipi unapigiwa mpira mkubwa na nafasi zinatengenezwa swafiiiiLeo kocha wa Dodoma halalamiki kabisa
😬😬 bado hamjathema, sisi tupo juu nyie mpo chini tunawambia
wacha kumuonea wivu dodoma hata ww ulipigwa 5 ko ni zamu zamuHawa Dodoma jiji watakula vuzuri Christmas wamefanya walichoelekezwa.
Bado goli 2 au zaidi.
Mradi isemwe yanga ndio timu ya kwanza kufunga goli nyingi
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Sawa yule ndio anakuwa last defender lakini dube alikuwa amemzidi huyu mwengine second last defenderAngalis vizuri pake golini kulikua nachezaji wakati dube anafunga.
Ubora kwa Aki na Ukwa? Ubora tunapima na Al Hilal,Mc AlgiersYanga wamerudi kwenye ubora wao, sisi mwakapenat na kocha letu la mchongo, tutarajie dozi ya maumivu kama msimu jana.
Thawa😬😬 bado hamjathema, sisi tupo juu nyie mpo chini tunawambia
Hiyo unaidai kwa wale wa maridiano fake au maridhiano og?Badala mfanye mambo ya msingi kama kudai katiba mpya nyie mmekalia simba na Yanga kenge kweli
Mbeleko FCAisee jamani hili goli la nne sio offside kweli
Kunamaduka bado tunamalizia kuyasafishaWewe mbona ulikukutana na Mimi unanipa point tatu mkuu