Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amepona pancha?Boka kiboko ya kapombe anaingia 😀😃😃
Kama uliiangalia ile mechi ya mwisho uliopigwa nangai kimoko huyo kapombe si alikimbizwa au umesahau tulete clipu na ile AliotelezaKuwa na adabu huwezi kumfananisha Kapombe na Ranjiti
Ndio ndioAmepona pancha?
Ni suala la muda tu na mambo ya jiesiemu anadhamini timu nyingi sio muda mrefu.Na mambo ya uchawi na sindano vitarejea tena.
Washaanza kutoa milioNi suala la muda tu na mambo ya jiesiemu anadhamini timu nyingi sio muda mrefu.
Wewe umtegemee mutale hiyo furaha ya kuongoza ligi utapatia wapi ?
Uyu bakari nondo hajui kuwa ni gusa achia twende kwao???
Side mnyamwezi kajua kuwapatia ni vilio tuWashaanza kutoa milio
Kuna tofauti kubwa sana ya kushinda goli nyingi na penati ikiwemo halafu kuna kushinda mechi iliyoamuliwa kwa penati baada ya kuongezwa dakika 6. Mambo ya refa hakikisha mpira haumaliziki bila ya Bwana yule kushinda sisi hatuna. 😂😂
Nani asiyejua kocha wa dodoma ni yanga asilia? Hii mechi ni stagedutalalamika vipi unapigiwa mpira mkubwa na nafasi zinatengenezwa swafiiii
Tarehe 4,12 na 18 January tutajua kama kweli Dube ni mfungajiHoja hapa ni ligi kuu habari za CAF za Nini kweli rage alikuwa sahihi kuwaita lile jina
Nini sanaSimba anashinda mechi zake kwa kupambana, yanga alishinda kabla hata ligi haijaanza, rehea udhamini wa gem ja pattern ya ushindi wa yanga dhidi ya timu dhaminiwa
Nani asiyejua kocha wa dodoma ni yanga asilia? Hii mechi ni staged
Sawa mwanetu4,12 na 18 tutajua kama kweli Dube ni mfungaji