Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,461
- 35,218
Twende kwaoGusa achia ⚽️⚽️⚽️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende kwaoGusa achia ⚽️⚽️⚽️
Otimbi na Otimbiloutalalamika vipi unapigiwa mpira mkubwa na nafasi zinatengenezwa swafiiii
timu yako ilipigwa ngapOtimbi na Otimbilo
Lia taratibu asikusikie dube, maana kuna game ya marudiano asijetutonesha.Aisee jamani hili goli la nne sio offside kweli
Ilikuwaje mkalia meee kroooo kwa Mkapa mlipokutana na Al hilal?Kuna tofauti kubwa sana ya kushinda goli nyingi na penati ikiwemo halafu kuna kushinda mechi iliyoamuliwa kwa penati baada ya kuongezwa dakika 6. Mambo ya refa hakikisha mpira haumaliziki bila ya Bwana yule kushinda sisi hatuna. 😂😂
Ila mbumbumbu akili sijui huwa mnaweka wapi ?Ndio mkuu, unajua hawa jamaa na viwanja vyenye cctv hawapatani kabisa.
Omba sub ingia uwanjaniHawa dodoma mbona wana heza kizembe
Tulishawahi kuwa mkiani hivi hivi baada ya mechi tatu na kuambulia point 2 tu hadi mkatukatia tamaa msimu uliopita na mwisho wa siku Yanga ikafuzu kwenye kundi gumu zaidi ya hili.
Heheheee chura wa jangwani yenye ukwasi wa Tsh 500m inajifananisha na Real Madrid yenye ukwasi wa pounds bilion 500+Hii ni YANGA au REAL MADRID?
Mkuu unaulizia akili kwa mtu mbumbumbu? Au unatania tu?Ila mbumbumbu akili sijui huwa mnaweka wapi ?
Bado hamjahamia ligi ya Zanzibar ?Jana nilisema hii nechi yanga imefuata point 3 za ubwete toka kwenye tawi lake, nani hakuelewa?
Hoja hapa ni ligi kuu habari za CAF za Nini kweli rage alikuwa sahihi kuwaita lile jinaIlikuwaje mkalia meee kroooo kwa Mkapa mlipokutana na Al hilal?
Furahini kwa kuwapiga walima zabibu wenye njaa ila huko CAFCL nyie ni mdebwedo tu mamaeeh
Kuwa na adabu huwezi kumfananisha Kapombe na RanjitiBoka kiboko ya kapombe anaingia 😀😃😃
Hii ndio comment ya mwaka 2025 tutakua tunahesabu magoli baada ya mwana mfalme kutupia..sasa ndo tuna hesabu magoli baada ya dube kutupia