Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Gamondi alikuwa anahujumu timu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja hapa ni ubora wa 🐸🐸Hoja hapa ni ligi kuu habari za CAF za Nini kweli rage alikuwa sahihi kuwaita lile jina
Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio 😂😂Simba anashinda mechi zake kwa kupambana, yanga alishinda kabla hata ligi haijaanza, rehea udhamini wa gem ja pattern ya ushindi wa yanga dhidi ya timu dhaminiwa
Nani asiyejua kocha wa dodoma ni yanga asilia? Hii mechi ni staged
Yaani mechi ya mwaka jana bado tuu unaileta kama mfano? Kuna timu ilishapigwa 6 mtungi na hatusemiHaya baadhi ya mabomu Yanga Yaliyopiga mochuwari
DODOMA. 0-4 .. (INAENDELEA)
SIMBA. 1-5
PRISON. 3-2
Sawa risiti imechukuliwa usije kukimbia jukwaa mwanetuShindeni hata 80 bila ligi tunaongoza sisi na tutaongoza ligi mpaka mwisho wa msimu.
Baelezee baambie baelewe 😃 😃 😀Nyo nyo nyo nyo nyo nyo 🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫
Kiko wapi? Tunawauliza kiko wapi?
#Yangadaimambelenyumamwiko
#Yangasince1935
#Yangabingwa
💚💚💛💛
Alikimbizwa na nani?Kama uliiangalia ile mechi ya mwisho uliopigwa nangai kimoko huyo kapombe si alikimbizwa au umesahau tulete clipu na ile Alioteleza
Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio 😂😂Alikimbizwa na nani?
Kapombe aliteleza akiwa nje ya uwanja. Sasa hapo Ranjiti anahusikaje? Au alimwaga vitu chini vilivyomfanya Kapombe aanguke?
Halafu bado mna ule ujinga wa kumhusudu mchezaji anaye kimbia kimbia hovyo uwanjani. Hamjifunzi kwa Kisinda?
Weeh, usiniambieGamondi alikuwa anahujumu timu
GSM ameharibu ligi yetu! Uto anacheza na matawi yake!!Gamondi alikuwa anahujumu timu
💯💯 Huyu side simba akija vibaya atafungwa 7Matokeo ya Mabigwa ndiyo kama mnavyoyaona, kasi imerudi palepale na zaidi. Timu tunayo na tunatamba nayo 🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Zawadi ya Christmas hii.
Anyway Merry Christmas and Boxing day hapo kesho. Yanga tunawapenda sana, tumewafunga midomo.
Naona waliokimbia timu wanaanza kurudi kwa makelele...Nyo nyo nyo nyo nyo nyo 🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫
Kiko wapi? Tunawauliza kiko wapi?
#Yangadaimambelenyumamwiko
#Yangasince1935
#Yangabingwa
💚💚💛💛
YaaahWeeh, usiniambie