Full Time: Dodoma Jiji 0-4 Yanga SC | NBC Premier League | Jamuhri Dodoma | Disemba 25, 2024

Full Time: Dodoma Jiji 0-4 Yanga SC | NBC Premier League | Jamuhri Dodoma | Disemba 25, 2024

Hoja hapa ni ligi kuu habari za CAF za Nini kweli rage alikuwa sahihi kuwaita lile jina
Hoja hapa ni ubora wa 🐸🐸

Usikwepe hoja hii Uto bado mnajitafuta huko CAFCL.

Mtatamba mliwapiga wana lunyasi 5 NBCPL ila mkienda CAFCL mnabuluza mkia.

Jifunzeni kwa wanalunyasi mnaowapiga 5 ila wakienda kimataifa wanawaacha mkiani 🐸🐸wahed nyie.

🐸🐸Bingwa wa kunywa supu na kusheherekea goli 5 NBCPL 😂😂
 
Simba anashinda mechi zake kwa kupambana, yanga alishinda kabla hata ligi haijaanza, rehea udhamini wa gem ja pattern ya ushindi wa yanga dhidi ya timu dhaminiwa



Nani asiyejua kocha wa dodoma ni yanga asilia? Hii mechi ni staged
Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio 😂😂
 
Kama uliiangalia ile mechi ya mwisho uliopigwa nangai kimoko huyo kapombe si alikimbizwa au umesahau tulete clipu na ile Alioteleza
Alikimbizwa na nani?

Kapombe aliteleza akiwa nje ya uwanja. Sasa hapo Ranjiti anahusikaje? Au alimwaga vitu chini vilivyomfanya Kapombe aanguke?

Halafu bado mna ule ujinga wa kumhusudu mchezaji anaye kimbia kimbia hovyo uwanjani. Hamjifunzi kwa Kisinda?
 
Alikimbizwa na nani?

Kapombe aliteleza akiwa nje ya uwanja. Sasa hapo Ranjiti anahusikaje? Au alimwaga vitu chini vilivyomfanya Kapombe aanguke?

Halafu bado mna ule ujinga wa kumhusudu mchezaji anaye kimbia kimbia hovyo uwanjani. Hamjifunzi kwa Kisinda?
Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio milio milio Milio milio milio milio milio milio 😂😂
 
Matokeo ya Mabigwa ndiyo kama mnavyoyaona, kasi imerudi palepale na zaidi. Timu tunayo na tunatamba nayo 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️

Zawadi ya Christmas hii.
Anyway Merry Christmas and Boxing day hapo kesho. Yanga tunawapenda sana, tumewafunga midomo.
 
Matokeo ya Mabigwa ndiyo kama mnavyoyaona, kasi imerudi palepale na zaidi. Timu tunayo na tunatamba nayo 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️

Zawadi ya Christmas hii.
Anyway Merry Christmas and Boxing day hapo kesho. Yanga tunawapenda sana, tumewafunga midomo.
💯💯 Huyu side simba akija vibaya atafungwa 7
 
Nyo nyo nyo nyo nyo nyo 🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫
Kiko wapi? Tunawauliza kiko wapi?
#Yangadaimambelenyumamwiko
#Yangasince1935
#Yangabingwa
💚💚💛💛
Naona waliokimbia timu wanaanza kurudi kwa makelele...

Bahati mbaya hawako kileleni..

Ulikuwa wapi mtani?
 
Saizi hutasikia zile kauli za Sudi sio kocha.

Saizi hutasikia Hamisa anatuharibia mchezaji wetu.

Hutasikia Hersi alifanya kosa kumtimua Gamondi.

Na hata huyo Sudi hutamsikia akisema wachezaji hawana fitinesi. Wala huwezi kumsikia akilalamika kuwa ana muda mchache tangu akabidhiwe timu.

Sasa ngoja ipatikane mechi moja tu iwapalie.
 
Back
Top Bottom