Mpira umejifunzia ukubwani acha keleleUsijisifu kumfunga dodoma jiji,Angalia magoli yako ulivuofunga yote yametokana na makosa ya mpinzani wako sio jitihada za Yanga kasoro goli la Kona tuu.
Mtanena kwa lugha na bado,,timu Bora itajulikana mwisho wa msimuHakuna kitu hapo! kinachofanyika ni kujitekenya na kucheka mwenyewe!! Mfadhiliwa lazima amwachie mfadhili!! Kipima joto ni mechi za kimataifa!! huko GSM hana timu anayoifadhili!!