Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Muda wa GSM kuanza kushutumiwa umekaribia sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ThibitishaGSM ameharibu ligi yetu! Uto anacheza na matawi yake!!
Mtamfunga 10 kabisa ila hamtaweza kuwa kama yeye..💯💯 Huyu side simba akija vibaya atafungwa 7
Mkuu tuache utani, yanga mna timu huwezi linganisha na kile kikoba cha mudi aka mwakapenati.5imba wafanye nini kipindi cha tatu?
Hakuna kitu hapo! kinachofanyika ni kujitekenya na kucheka mwenyewe!! Mfadhiliwa lazima amwachie mfadhili!! Kipima joto ni mechi za kimataifa!! huko GSM hana timu anayoifadhili!!Naona waliokimbia timu wanaanza kurudi kwa makelele...
Bahati mbaya hawako kileleni..
Ulikuwa wapi mtani?
Sasa hapo ungetia Mkeka,dube to score,Mzize to score,Aziz to score.Ndio mwamba mambo yamekua marahisi First half
Wameanza kuingiwa na hofu huku jamani mama mama weeeeShindeni hata 80 bila ligi tunaongoza sisi na tutaongoza ligi mpaka mwisho wa msimu.
Gsm ni hatari, hadi wadau toka mbinguni kwetu, wanatuma maoni yao wakimlalamikia.GSM ameharibu ligi yetu! Uto anacheza na matawi yake!!
Kwani wewe ni mgeni hapa bongo?Thibitisha
Saizi hutasikia zile kauli za Sudi sio kocha.
Saizi hutasikia Hamisa anatuharibia mchezaji wetu.
Hutasikia Hersi alifanya kosa kumtimua Gamondi.
Na hata huyo Sudi hutamsikia akisema wachezaji hawana fitinesi. Wala huwezi kumsikia akilalamika kuwa ana muda mchache tangu akabidhiwe timu.
Sasa ngoja ipatikane mechi moja tu iwapalie.
Usijisifu kumfunga dodoma jiji,Angalia magoli yako ulivuofunga yote yametokana na makosa ya mpinzani wako sio jitihada za Yanga kasoro goli la Kona t
Ndio Braza Nyuma mwikoTujisifu kushinda kwa bahati na sibu za refa si ndio bwana kolo
Hivi kuna goli gani kwenye mchezo wa mpira wa miguu uliwahi kuona limefungwa pasipo makosa ya mpinzani? Wewe ndiye yule Rage aliyekuwa anasema kuwa ni mbumbumbuUsijisifu kumfunga dodoma jiji,Angalia magoli yako ulivuofunga yote yametokana na makosa ya mpinzani wako sio jitihada za Yanga kasoro goli la Kona tuu.
Mpira umejifunzia ukubwani acha kelele akuna unachokijua weweUsijisifu kumfunga dodoma jiji,Angalia magoli yako ulivuofunga yote yametokana na makosa ya mpinzani wako sio jitihada za Yanga kasoro goli la Kona tuu.
Kwahiyo hata Simba nao ni tawi la Yanga!?Simba anashinda mechi zake kwa kupambana, yanga alishinda kabla hata ligi haijaanza, rehea udhamini wa gem ja pattern ya ushindi wa yanga dhidi ya timu dhaminiwa
Nani asiyejua kocha wa dodoma ni yanga asilia? Hii mechi ni staged