Na mambo ya uchawi na sindano vitarejea tena.Milio ya GSM anaharibu ligi itaanza mda si mrefu ππππ
Naunga mkono hoja comradeNa mambo ya uchawi na sindano vitarejea tena.
Ana kitu au anabahatisha?Tunampa Muda Kwanza π₯π₯π₯
Hapa bado tunajitafuta likiwaka kuna mtu mmoja pale daslam tutajipigia goal zaid ya 5Gari limewaka hili.
So far... Ana Kituπ₯π₯π₯Ana kitu au anabahatisha?
imeporomoka mnoooo na ikikaa vibaya tunaweza ifuta kabisa leoMakolo yana sikitika goal difference ime punguzwa chaou chapu kama kuku
Kipindi huyu kocha analetwa watu walisema Yanga inaokota okota makocha.Tunampa Muda Kwanza π₯π₯π₯
Tulivyowafunga nyie goli 5 tulipewa milioni 25 za mama. Hivyo jibu umeshapata kuwa hata tukicheza na timu ndogo ndogo kama Simba ela zinagawawiwahadi hapo tuna milioni 15 za goli la mama. Hivi hata timu hizi ndogo nazo huwa zinagawiwa hela?
Vipigo viendelee hadi kwa mtu yuleππKipindi huyu kocha analetwa watu walisema Yanga inaokota okota makocha.
Mie nikawaambia hata Nabi alikuja bila CV kubwa hapa Yanga.
Ila mifumo yake ikatiki Yanga vizuri tu.
Hadi alipofikia sidhani kama anatakiwa atiliwe shaka,aendelee kutembeza dozi tu anatakiwa abaki.
galasa linapiga magoli mita 80
Kwa anachofanya huyu kocha habahatishi.Ana kitu au anabahatisha?
Mkuu unaizungumziaje ile penaltHua hawakosi visingizio hao.
Hata suala la sindano litarudi tena na uchawi litarudi tena.
Ukiwaambia watoe ushahidi wa wayasemayo hawana.
Nitafanya marejeo yangu binfasi ya video kesha ndio nitatoa jibu mkuu.Mkuu unaizungumziaje ile penalt
Naona leo mnapiga mabomu mochwariDuh, ila wa mbinde sana mkuu! Angekuwa Yanga leo kwenye mitandao mngechafukwa!
yoyote yule haya ni mazoezi kwa ajili ya my wetuSwali La kujibu, Linampiga nani?
Naona leo mnapiga mabomu mochwari
Bado Dube utabiri utimie...Yanga bingwa [emoji172][emoji169]
Tunashinda 4-0
Aziz Ki
Dube 2
Mzize