Eeeh Mwenyezi Mungu tusaidie tucheze mechi salama na tumalize salama kwa ushindi. Utukinge na yote mabaya tunayoombewa na maadui zetu. Wajaalie neema tuweze kushuhudia pamoja nao mazuri mengi ambayo Yanga inakuja kuyafanya kwa neema na baraka zako. Amina
Kila la kheri wananchi π’π‘
Waache wameutaka wenyewe!Naona leo mnapiga mabomu mochwari
Katiba mpya dai wwBadala mfanye mambo ya msingi kama kudai katiba mpya nyie mmekalia simba na Yanga kenge kweli
Hifadhi hii comment mzee,utakuja kunikumbuka.Yanga imefanya yote.
Na timu bora siku zote ina uwezo wa kutumia fursa ya makosa ya mpinzani ili kupata matokeo.
Kitendo cha Yanga kutumia nafasi ya makosa ya Dodoma Jiji imeonesha ukomavu wa safu yake ya ushambuliaji kuwa ipo makini.
Na huo ndio mpira.
Labda kama ulete porojo nyingine bro.
Ratiba leo... English PL, Scottish PL, Serie A, La Liga, Bundesliga, etc. kote hakuna mechi.. wakubwa wote tumepumzika...ndogo hucheza kabla ya sikukuu kubwa hucheza siku kuu maana ndizo zenye washabiki wengi wanaohitaji furaha
Unapotosha mkuu, ukweli uko wazi. Kati ya hawa, nani kacheza leo?Timu kubwa kama Madrid, Man city, Arsenal, Yanga nk. Zinapangwa siku za sikukuu ili watu wafurahi wapate mtoko!
Dada yangu kwahiyo saivi mpo tayari tuwaitie Watu weusi (Ah Hilal)Haya si maneno mageni hapa jijini.
Ni aibu sana Timu imeanzishwa zamani sana almanusura ianzishwe kipindi ambacho Yesu yupo duniani ila bado haina kombe lolote la Caf.Yangadaimambelenyumamwiko
#Yangasince1935
Mkuu, FIFA wanaogopa kulogwa.Kule Lubumbashi hakuna CCTV? kwanini hamtaki kutumia fursa hii kupeleka vielelezo vyenu FIFA ili hatua zichukuliwe?
Mkuu, camera na sindano haviendani.Ila mbumbumbu akili sijui huwa mnaweka wapi ?
Ya uto yanatuhusu nini sisi tunaongoza ligi.Makolo lazima warudishe usemi wao kuwa GSM ana haribu ligi.
haya tuyafute yale matatu liwe moja. MATOKEO NBC LEO DODOMA JIJI FC 0 VS 1 YOUNG AFRICANS SC. umeridhika.Hapo Ndio tunatofautiana,Kuna makosa mawili kwenye mpira
1.Ambayo team inafanya yenyewe bila presha toka team pinzani
2.Makosa ambayo team inafanya kutokana na juhudi za team pinzani.
Sasa Hebu niambie umefanya kipi leo zaidi ya goli la kona
Mtasema sana.Mkuu, camera na sindano haviendani.
matokeo ngao ya jamii 2024/25 SIMBA 00 VS 1 YOUNG AFRICANS MAX NZENGELI. | MATOKEO NBC PL 2024/25 SIMBA SC 00 VS 1 YOUNG AFRICANS, OG KELVN KIJIRI.Msimu huu Simba haijafungwa na Yanga!?
Au msimu huu nao ni historia!??
Hilo sio swali mkuu mnyamaaAkikosa Yanga ubingwa achukue nani!?
Hizo kauli huwa mara nyingi zinatengenezwa na kushadadiwa na kolowitches.Saizi hutasikia zile kauli za Sudi sio kocha.
Saizi hutasikia Hamisa anatuharibia mchezaji wetu.
Hutasikia Hersi alifanya kosa kumtimua Gamondi.
Na hata huyo Sudi hutamsikia akisema wachezaji hawana fitinesi. Wala huwezi kumsikia akilalamika kuwa ana muda mchache tangu akabidhiwe timu.
Sasa ngoja ipatikane mechi moja tu iwapalie.
huyu kapigwa 4 n staged aya aliyepigwa tano ni niniSimba anashinda mechi zake kwa kupambana, yanga alishinda kabla hata ligi haijaanza, rehea udhamini wa gem ja pattern ya ushindi wa yanga dhidi ya timu dhaminiwa
Nani asiyejua kocha wa dodoma ni yanga asilia? Hii mechi ni staged
Tarehe 28 simba wanapoteza points 3. Labda wafanye miamala nje ya uwanja. Na tunawawekea mtego wa TAKUKURU. Baada ya hapo wataanza kujifanya wanafuatilia mechi za ulaya tu lakini huku Bongo watakuwa wanailaumu GSM.Makolo lazima warudishe usemi wao kuwa GSM ana haribu ligi.