Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,856
- 5,430
Mkuu wewe ni mkatili sanaPiga picha hii Barça ikutane na Man U
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Unataka kupiga bomu mochwari😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe ni mkatili sanaPiga picha hii Barça ikutane na Man U
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Hahahahahaha mpira una matokeo ya kikatili sana mkuu.hahaha msala
Derby!! Una uhakika hiyo ni derby?Watu wengi hawajui Derby ya Madrid na Barcelona Ni yasababu za kisiasa
Kwi kwi kwi kwi!Ila Ancelotti anajua sana kucheza mechi kubwa
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣Kuna goli nyingi sana Madrid wakitulia maana hii defence ya Barca ni majanga kuanzia kwa kipa, mabeki mpaka viungo wakabaji.
Hawakutulia maana nafasi wamepata nyingi wameshindwa kuzitumiaHahahaha 🤣🤣🤣🤣
Jana walinichania mikeka nliweka G GSaa 4:00 usiku wa leo, kunapigwa mchezo mkubwa wa el clasico.
Real Madrid dhidi ya Barcelona kule Santiago Bernabeu,
Barcelona wako form huku Madrid wakiwa wa moto.
Ni El clasico nzuri baada ya miaka mingi sana kuwa mechi ya kawaida.
Nini kitatokea? Nani atafungwa?
Huku kuna Mbappe, Vini Jr kule kuna Lamine Yamal, Pedri, Lewandowski.
Game itakuwa live kupitia AzamTv, DStv, Canal Sports
Live updates itakuwa hapa…
View attachment 3136085
Ndio Hamna kitu hapoHawakutulia maana nafasi wamepata nyingi wameshindwa kuzitumia
Anamuiga LIVERPOOLBarcelona ni either umfunge or akufunge
Habari za sare hatutaki😄
Imagine free agent na bado mmepigwaUzuri ni free agent, hakukua na pesa iliyotoka kumnunua
Jude alishachoka mapema, mbappe bahati haikuwa upande wake, offside zilimnyima magoli. Vini Jr kuna kitu alitaka akioneshe lakini mambo yakawa tofauti na matarajio yake.Jude hakua na game mbaya jana. Kama alikua hataki kumtoa Mbappe basi angewachezesha na Endrick apunguze kiungo mmoja. Aseeh Don Carlo jana amenyanyasika sana
Ndio Ni Derby no 2 kwa ukubwa duniani baada ya Derby ya Manchester United Vs LiverpoolDerby!! Una uhakika hiyo ni derby?
Barca na Madrid haiitwi derby ni El clasico.Ndio Ni Derby no 2 kwa ukubwa duniani baada ya Derby ya Manchester United Vs Liverpool
Darby ni mechi ya upinzani ambazo timu zinatoka mji mmoja. Ndiyo maana ya derbyNdio Ni Derby no 2 kwa ukubwa duniani baada ya Derby ya Manchester United Vs Liverpool
Hujui maana ya derby au unajitoa ufahamuNdio Ni Derby no 2 kwa ukubwa duniani baada ya Derby ya Manchester United Vs Liverpool
Ngoja tujipange tutarudi vizuri wakati mwingine. Ila Mbappe namuona ni Hazard yule wa MadridJude alishachoka mapema, mbappe bahati haikuwa upande wake, offside zilimnyima magoli. Vini Jr kuna kitu alitaka akioneshe lakini mambo yakawa tofauti na matarajio yake.