rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Kwenda unafki tu .Akikujibu naomba unitag Mzee mwenzangu.
Kufaaaa π€£π€£π€£π€£π€£π€£Ubongo wako wangepewa nyumbu wa serengeti tu.
Aiseee mambo ni makali sanaKwa hiyo unatakaje bwana utopox?
Wewe ni umbwa kabisaπKufaaaa π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Show off bungeni zimewacost....Wamebebwa hadi dkk 105 lakini wapi...Extra 15 mins.Wenzio wanajiandaa na mchezo nyie mnaenda kuzurura Bungeni πππ haya ndiyo matokeo
π€£π€£π€£ tufurahi tuWewe ni umbwa kabisaπ
Ufurahi na nani goigoi weweπ€£π€£π€£ tufurahi tu
πππ Wanetu wameshona vijora
Huku akijua kipa hayupo, hii ni subortageHuyu anamaelekezo tayari. Mtu sio beki inakuaje arudishe mpira golini.
Refa alitaka kuongeza dakika 20.πππ Wanetu wameshona vijora
Mkuu nitawanyima kuwa host wenu kwenye nchi za watu kama mnaendekeza ujinga huu.πππππππ Wanetu wameshona vijora
Lolo!?Chasambi alisema lolo modo wake ni max...
Ndio mashabiki wa foundation gate tumeyafurahia matokeo pamoja na figisu za refa tumefanikiwa kupata pointKwani humu wanaofurahia haya matokeo ni Fountain Gate?
Yule ni mpumbavu sana ndio maana kapeleka hadi 102Refa alitaka kuongeza dakika 20.
ππNdio mashabiki wa foundation gate tumeyafurahia matokeo pamoja na figisu za refa tumefanikiwa kupata point