Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Moya moya niliiona mapema kabisa leo mikia mmenyolewa na chupa haahKwa lipi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moya moya niliiona mapema kabisa leo mikia mmenyolewa na chupa haahKwa lipi ?
Huu ni ukweli kabisa wakupe chako maana tumeshidwa sisi makolo.MIMI REFA MTANIPA CHANGU TU
NIMEWATOLEA HADI KIPA LAKINI WAPIIII, DAKIKA NIMEZIDISHA WAAAP,, SASA NINGEFANYAJE MIMI
Oya nipeni changu [emoji1787]
Kocha lazima atapewa maelekezo, hakuna kumchezesha huyo 😀😀😀Na ukijumlisha na ile kauli yake ya kusema anamkubali zaidi Max Nzengeli! Lazima mbumbumbu watamtengenezea tu zengwe!
Kumbe makosa ya aina hiyo, hata wachezaji wa ulaya huwa wanayafanya, na bado maisha yanaendelea.
Wewe kijana akili hauna kabisaMoya moya niliiona mapema kabisa leo mikia mmenyolewa na chupa haah
Kesho na kesho kutwa...Utakuwa lini Musoma?
Nipigie nipigieeeee🤣🤣
Pole sana pale chasambi kazingua sanaIkibidi kabisa kwani nini?
Mimi na wasukuma damu damu🤣🤣🤣Kesho na kesho kutwa...
Usije ukanifokea ukidhani ni Msukuma kakosea namba!
Patachimbika!
Labda kufunga kunyaaSimba lazima afunge mawili
Ndo maana nakukubali sana.Mimi na wasukuma damu damu🤣🤣🤣
Na angefanya hilo kosa kwenye mechi ya Yanga, lazima wangemtuhumu kupokea rushwa. Yaani sumba ni timu yenye mashabiki na viongozi wenye mihemko sana.Kocha lazima atapewa maelekezo, hakuna kumchezesha huyo 😀😀😀
Kiaje ?Kushona sare ya vitambaa 😀😀
Ubongo wako wangepewa nyumbu wa serengeti tu.
Akikujibu naomba unitag Mzee mwenzangu.