princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Kama anataka kumchinja😅😅😅Ila huyu refa jinsi alivyoshika hizi kadi zote mbili kwa mpigo 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anataka kumchinja😅😅😅Ila huyu refa jinsi alivyoshika hizi kadi zote mbili kwa mpigo 🤣🤣
Kwani humu wanaofurahia haya matokeo ni Fountain Gate?Leo wamecheza simba na foundation gate sasa yanga anahusika nini mkuu
Nakala kwako
Nipo miji mitano wiki hii na ijayo: Dar, Mwanza, Musoma, Bariadi na Dodoma. Hiyo mbege mnainywea wapi? Naomba nikaribishwe pulizi!Shindikana njoo tunywe mbege tu🤣🤣🤣
Wakala wa umeme vijijiniRea ndo nani?
Mjukuu wangu unastahili kabisa kuirithi mikoba 💣 ✨ ya babu yako! Siyo kwa utabiri huu.Hii mechi ni draw tofauti na hapo nifukuzwe jf.
Nimebahatisha babu😄Mjukuu wangu unastahili kabisa kuirithi mikoba 💣 ✨ ya babu yako! Siyo kwa utabiri huu.
Huwezi kubeba kisichobebeka ndugu yangu...Mikolo imebebwa lakini haibebeki 🤣🤣🤣
Huyu anamaelekezo tayari. Mtu sio beki inakuaje arudishe mpira golini.Kama uongozi hauwezi kumalizana na hawa wachezaji wanaoturidisha nyuma inabidi mashabiki tuwe tunamalizana nao huku mtaani au hawa kuwazomea. Ile sio bahati mbaya kabisa
Mbona kina kibu walizomewaga mwaka jana Dodoma nahisiKama uongozi hauwezi kumalizana na hawa wachezaji wanaoturidisha nyuma inabidi mashabiki tuwe tunamalizana nao huku mtaani au hawa kuwazomea. Ile sio bahati mbaya kabisa
Vijana tafuteni pesa kunguni nyie🤣🤣🤣Zungykaaa zungyka zungukaa zungukaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
CHasambiii lazima nikujengeee mnara wakooooo