Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Valentine day imeharibikaKituuuuuuuuu💚💛🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Valentine day imeharibikaKituuuuuuuuu💚💛🔥
na refa kaacha penati ya tatu maana jamaa kashika waziGoli 2 za penalty
sema goli 2 za penati halali achana na penati za mauza uzaGoli 2 za penalty
mbona penati zote za halali achana na wale wa penati za kuokoa jahaziBila penati mambo hayaendi😃😄😀
Intellectual bankruptcy confirmedMzize kwenye penalty huwa hajui lango liliko
Penati ni penati na zote huwa za halali.mbona penati zote za halali achana na wale wa penati za kuokoa jahazi
🐒sema goli 2 za penati halali achana na penati za mauza uza
hapa tumekumbushia kidonda za azam si muda cha makolo kinafikiwaBado moja tutoneshe kidonda cha makolo
View attachment 3236421
labda mechi ziishe leo, ila kama tunakutana ubingwa hatoboiHata mshinde 💯 simba bingwa. Ubaya ubwela
Kalpana hiii mtani wangu 🤣🤣🤣🤣 hamia yanga mtani wangu 😆😆KMC FC Vs Yanga SC
| NBC Premier League
| KMC Complex
| Februari 14, 2025
🕖 10:15 Jioni
View attachment 3235945
Updates..
Dakika, 27 Bado Yanga wanaongoza goli 2
Dakika, 29 Yanga wanapata freekick
Dakika, 31 wamepata freekick lakini wanakosa kutumia nafasi
Dakika, 38 KMC wanapata freekick
Dakika, 39 KMC wanafanga mabadiliko ya wachezaji wawili
Dakika 2 zimeongezwa kukamilisha dakika 45 za kipindi cha kwanza.
Half Time: KMC 0 - 2 Yanga SC
Dakika 45 za kipindi cha pili zimeanza
Pacome amechukua nafasi ya Mzize
Dakika, 49 goooool Aziz Ki anawapatia Yanga goli la 3
Dakika, 51 KMC wanapata goli
Dakika,54 Sure boy anaingia kuchukua nafasi ya Aucho
Dakika, 56 Yanga wanapata Penati
Dakika,56 Aziz Ki akitupia goli 4 kwa Yanga na inakuwa Hat trick
Dakika, 61 Chama anachukua Mudathir Nondo anachukua Nafasi ya Bacca
Dakika,64 Nondo anakosa nafasi ya wazi ya kufunga goli.
Dakika,66 Duke Abuya anaingia kuchukua nafasi ya Aziz Ki
hahahaha za nyau zina makando kando balaaaPenati ni penati na zote huwa za halali.
Panda kitandani ulaleValentine day imeharibika
😀😄😃mwamnyeto alitaka tukumbusha mambo ya 5-1