tulia wewe!Sasa wewe Msen&e umeanzisha uzi hata vikosi huweki umekaa tu kubishana na watu humu Active huyu jamaa mpigeni marufuku kuanzisha nyuzi za boli mbona kina Vincenzo Jr wenzio ni vijana smart sana we hata kuiga huwezi?
Mtaziomba leo nawaambiaHAKUNA PENATII WALA KADI NYEKUNDU ZA MCHONGO
Yanga ua mtu hapo
FT: 0-0
Wachawi😅😅😀FT: 0-0
Leo kinawalamba hiki kiwembe lazima mdondoshe point KigomaWachawi😅😅😀
Kama tulivyotapeliwa mechi ya Namungo vs SimbaNaona wameshapanga matokeo zamani. Tunatapeliwa tu viingilio
Offside kweli....nyie mnaangalia mpira kinyumenyume nnTumenyimwa goli la wazi hapa