Full Time: Mc Algier 0-1 Al Hilal | CAF Champions | Disemba 14,2024

Full Time: Mc Algier 0-1 Al Hilal | CAF Champions | Disemba 14,2024

Ulisema mechi zijazo mtakuwa fiti pia kuna nafasi mnaweza kusajili,je hao hawatafanya usajili na wanakoelekea hawatakuwa na fitness? Tatizo hamtaki kukubali kwamba timu yenu ni mbovu,mechi 3 point 1 na upo mkiani bado mnawaza kumfunga Al hilal ugenini,hata hizo za nyumbani zinaweza kuota mbawa
Simba ni nzima sio? Na magoli yenu ya penalt kila mechi mpaka shirikisho😁
 
Ulisema mechi zijazo mtakuwa fiti pia kuna nafasi mnaweza kusajili,je hao hawatafanya usajili na wanakoelekea hawatakuwa na fitness? Tatizo hamtaki kukubali kwamba timu yenu ni mbovu,mechi 3 point 1 na upo mkiani bado mnawaza kumfunga Al hilal ugenini,hata hizo za nyumbani zinaweza kuota mbawa
Al Hilal anaenda Congo
Pale inaweza kuwa sare
 
Yanga siyo Madrid usilete mifano mfu
Anajipa matumaini kwasababu ya kipointi kimoja.

Wakipoteza mechi wanapagawa lawama nyingi zinaenda kwa Hersi
 
Mahesabu ya Yanga kwa kifupi wanatoka, Mc Alger na Al Hilal watachukua tu point kwa Mazembe, Yanga hawezi kumfunga Al Hilala ugenini na pia anaweza asimfunge MC Alger hapa nyumbani,na pia unaweza ukashanga wakatoka sare na hao hao Mazembe hapa nyumbani.
Mpaka hapo Uto anaaga mashindano.

Sababu kuu ya kuaga mashindano ni kibri na kujiamini kupita maelezo.
Ilifika wakati Uto wanaomba mechi na malaku l-mauti.

kweli,,,,yani nililia
a sana.
images (3).jpeg
 
Dakika ya 67'

Al Hilal wanapiga kona
 
MC Alger wanafanya sub 2
 
Yanga ana mechi 1 ya ugenini dhidi ya Al Hilal
Al Hilal hayupo Sudan yupo Mauritania ambapo hana mashabiki kwaiyo tutakuwa kama tupo neutral ground
Na kumbuka tutakuwa tumepata boka kutoka majeruhi na usajili wa wachezaji muhimu
Hata hivyo usisahau kuwa timu yako haina sifa nzuri kwenye uwanja wa nyumbani.
Mechi zenu za nyumbani ni 50/50.
Usiwaamini sana Yanga kwa mechi za nyumbani
 
Hata hivyo usisahau kuwa timu yako haina sifa nzuri kwenye uwanja wa nyumbani.
Mechi zenu za nyumbani ni 50/50.
Usiwaamini sana Yanga kwa mechi za nyumbani
Ndo nasema hatujafuzu wala hatujatoka
Tungoje muda
Utaamua kama tunatoka au tunafuzu
Hapa tunabishana tu ushabiki
Tusubiri michezo tuone
 
Back
Top Bottom