mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,152
- 3,473
Boko mayo kwa kukosa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka tuna tokanaogopa hata kushangilia ngoja nisubiri kwanza
Sifa ya Boco ni kukosa magoli yeye na kipaBoko mayo kwa kukosa
Ameboa kweli alikuwa amtupie mwenzake pale kiwe cha piliBocco anabaki na kipa anashindwaaaa
Mbona ni kawaida yake huyu kuanzisha uzi wa apdate alafu mambo yakikaa vibaya kwake anakimbia uziUtopolo Joseverest ameshaukimbia huu uzi
Boco ameboa sana pimbi yuleLeo hawa tuko nao
Kazingua kinyamaSifa ya Boco ni kukosa magoli yeye na kipa
Zisipopatikana leo tutazipata Julai 3Simba mlifungwa goli nyingi sana kama mpira wa basketball daa! Tunazisubili goli za kufukia 4G
Kafakisha kisenge lilikua lapili lileBoco ameboa sana pimbi yule
Sasa hivi ilitakiwa waongoze 3 kabisa. Uchoyo na kukosa umakini ndo shida yetu leo.Simba hawana mikakati, wamepata nafasi nyingi mnoooo.wameshindwa kuzitumia
Acha kuota mchana angalia usitoke chumbani bila nguo ukazani no usiku [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Zisipopatikana leo tutazipata Julai 3
Halafu unapweka nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zisipopatikana leo tutazipata Julai 3