Goli la offside lipi katika yale matano?Simba ni bora kwA waamuzi wapuuzi tu goli za offside, penati na red card tofauti na hapo hakuna timu
Hahahaha offside za wazi na zinaonekana ila zisizo offiside zinaamuliwa na marefa wa mchongoSimba timing yao huwa hatari sana, utopolo wanatetemeka naona wameanza kulazimisha kila goli wanalofunga Simba ni offside.
Jamani kipa wa nini mchezo kama huu?Aishi Manula anatoka Anaingia Ally Salim
🤣🤣🤣🤣Jamani kipa wa nini mchezo kama huu?
Aanhaa kumbe ni sheria basi kama hivyo angeingia hata na headphone ili asiwe mpweke pale golini
Uto bana we mwenyewe unaangalia.!!Hivi kuna watu wanaangalia ujinga na upuuzi wa Hawa marefa
Hakuna uzi wa Simba uliowahi kupoa, afungwe asifungwe uzi huwa unakuwa wa moto.Uzi wa Simba umechangamka balaa wakati jana utopolo walikuwa watano tu wanahangaika huku
Sijui simba lini watawafurahusha mashabiki waoMayele anakitesa sana mzee [emoji38]
Hahaaaa huyu jamaa anafanyaga siku yangu iwe nzuri sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2121304
Kwamba kila wakifunga inakuwa ngekewa au ubovu wa refa!!!?Eeeh kwamba unataka sema ni uwezo
Simba huo uwezo kaupata lini
Nisome nachoandika mwana usikaze fuvu, bila hirizi wala mdumba acha tumchalaze ruvu.../Tatizo unamchukia mayele, na unajua ndo forward bora/
Unataka tumsifie kagele, wakati kashadorola/
Mugalu kawa masele, chati washampora,
Angalau boko kapiga ndele, anafunga goli kwa ukora.
La sitaaaKabisa ila wataponea kwenye kipengere cha ubovu wa marefa wa tz
Kipengere hicho kinaruhusu mbereko ya refa kwa goli zaidi ya 3