Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,385
- 10,659
Hebu sikilizeni hii ng'ombe[emoji3062]Hapa kuna goli 3 ni matokeo ya ubovu wa waamuzi wetu goli la 1, goli la 4 na 5 ni offside za wazi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu sikilizeni hii ng'ombe[emoji3062]Hapa kuna goli 3 ni matokeo ya ubovu wa waamuzi wetu goli la 1, goli la 4 na 5 ni offside za wazi kabisa
Utakufa Kwa kiholo mkuu hiyo ni hatari Kwa afya yakoSasa ni half time mechi kati ya simba na Ruvu shooting..tatizo sio simba lakini najiuliza
kwanini hawa barcelona ya bongo hawana ari ya mchezo? Kwanini hawakabi?
Kwanini wanakua kama wana support mashabulizi yaende langoni kwao?
Kwa style hii ina maana mechi hii itaisha kwa goli ushindi wa simba kwa goli 12+
Game hii kwangu ni moja ya game mbovu kabisa kuwahi kushuhudia hapa Tz
Bado nimebaki na maswali mengi ni nini kimetokea...kwa kuifahamu simba hii uwezo wa kutawala mpira kiasi hiki hawana ..na hilo hata wana simba wenyewe wanalijua..
Wacha tusubiri 2nd halftuone kitakachofuata..lakini mpira hakuna hapa leo...
Mpira wa upande mmoja?au ni waamuzi maana pia hata faulo nyingi zinaelekezwa kwa ruvu..
Any way..
Tusubiri.
Ushatamani kitu...[emoji7][emoji38]Kabisa mkuu
Kawoli 😂😂Na wazee wa simba pia wamezindua miguu ya wachezaji
Kwahiyo na ASEC walipigwa nyingi kwakua waamuzi walikuwa wabaya?? Leteni waamuzi wa ulaya basi.Simba ni bora kwA waamuzi wapuuzi tu goli za offside, penati na red card tofauti na hapo hakuna timu
Boko nambie goli gani hakuwa ameotea
Goli la kwanza alikuwa kaotea ubovu wa waamuzi wetu, goli la 4 mpiga cross alikuwa kaotea pia yaan ni upuuzi mtupu
Kuna tukioa limenifanya nicheke dk za mwisho jamaa wa ruvu wanapoteza mpira ndani ya 18 yao kibwege na hawakabi wala hawana harakaSasa ni half time mechi kati ya simba na Ruvu shooting..tatizo sio simba lakini najiuliza
kwanini hawa barcelona ya bongo hawana ari ya mchezo? Kwanini hawakabi?
Kwanini wanakua kama wana support mashabulizi yaende langoni kwao?
Kwa style hii ina maana mechi hii itaisha kwa goli ushindi wa simba kwa goli 12+
Game hii kwangu ni moja ya game mbovu kabisa kuwahi kushuhudia hapa Tz
Bado nimebaki na maswali mengi ni nini kimetokea...kwa kuifahamu simba hii uwezo wa kutawala mpira kiasi hiki hawana ..na hilo hata wana simba wenyewe wanalijua..
Wacha tusubiri 2nd halftuone kitakachofuata..lakini mpira hakuna hapa leo...
Mpira wa upande mmoja?au ni waamuzi maana pia hata faulo nyingi zinaelekezwa kwa ruvu..
Any way..
Tusubiri.
Mayele anakitesa sana mzee [emoji38]Simba muda wote ipo kwenye ubora wake
Kinachofanya tuone kwamba iko chini ya kiwango ni moja ya technique ya kumpa matumaini mpinzani ajione bora ajisahu
Mayele alitumia miezi kutengeneza magoli matatu, mwenzake boko katumia dakika 35 tu
Goli nyingi za offside (zaidi ya goli 2)Ruvu wamezidiwa huo ndio ukweli, kuleta sababu zingine Ni kujaribu kuficha aibu
Unavonichukia unadhihirisha mi ni mkali...Ingekuwa ni mayele angetetema maziwa yake mpaka kesho anaamka chuchu zote zinamuuma
Bora yanga walipigwa tano kwa vipindi vyote viwiliHuu ni upumbavu walahi, unawezaje kupigwa tano ndani ya kipindi cha kwanza😢🚶🚶
Makubwa nitamani nn ?Ushatamani kitu...[emoji7][emoji38]
Wachambuzi waliweka under 1.5Hawa wachambuzi vipi
Eti wanasema ruvu alifanya mistake ndo maana kafungwa
Hivi timu gani hapa ukanda huunwa afrika mashariki na kati ikacheza na Simba isifanye mistake?
Huyo sevilla tu ambaye ulimengu mzima unamjua kwa kandanda lakini kwa mkapa alipaki basi
Kocha wa Al Ahly anasema bora PSG kuliko msako wa simba kwa mkapa, halafu unakuja mchambuzi ambaye umeujua mpira baada ya kubeti beti unasema ooh ruvu kafanya mistake
Ni ujinga tu
We chura umejificha dimbwi gani 🤣🤣🤣Wazee Wa Mpapaso Wanaenda Kupapasa Mtu.
Papaso Square Kila La Kheri Masau Bwire.