Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uliwaona kuwa ni wabovu lakini ujuwe ukienda kichwa kichwa manundu tu. Kama kulwa.Taratibu akili zitawakaa tu vizuri, naubovu wote wa simba miaka ya hivi karibuni haijawahi kupoteza game ya kimataifa dhidi ya ibenge na timu mbovu mbovu kama al hilal,: naona sasa hamtoi zile ahadi za simba akishinda upigwe ban kwani wakubwa wamekuwa wakiwatendea haki baada ya game. Ipo siku kila mtu ataishabikia simba.
Yale mauto ya hapa jf yanamikwara mnouliwaona kuwa ni wabovu lakini ujuwe ukienda kichwa kichwa manundu tu. Kama kulwa.
Nitakuwepo...Match Day
Simba SC vs Bravos do Maquis FC
Time 1600hrs
#Nguvumoja
Kila timu mnaiita vibondeHii game Simba wanashinda kwa hawa vibonde
kama unabet weka kodi ya miezi 6 Simba kushinda utanishukuru baadae
DuuuhHii game Simba wanashinda kwa hawa vibonde
kama unabet weka kodi ya miezi 6 Simba kushinda utanishukuru baadae
Walichagua kufanya kila kitu wakiwa kwao.Hii team imefanya makosa inafika masaa 18 before game na inaenda kucheza na mnyma mpaka naionea huruma ikavavyo chakazwa
Kwani mlikuwa mmejipanga kushinda?Bravos siyo kitu mbele ya Simba ambo nina imani watawachapa mabao siyo chini ya mawiili. Kinachonisumbua akilini ni jinsi Yanga tutakavyoendelea kuzomewa. Yaanui tunapata nafasi tisa halafu tunashindwa kufunga hata bao moja?