Full time: Simba SC 1 - 0 Bravos do Maquis FC | CAF CC | Benjamin Mkapa Stadium | 27-11-2024

Full time: Simba SC 1 - 0 Bravos do Maquis FC | CAF CC | Benjamin Mkapa Stadium | 27-11-2024

Makolo wakandwe tu...hakuna namna[emoji23][emoji23]
20240820_071846.jpg
 
Haya mashindano yanahusu nini? Hizo timu sijui Bravos, Simba sijui constantine zinatoka wapi? mshindi anachukua mbuzi au gunia la maharage? Nina timu yangu huku Bunju ninaruhusiwa kujiandikisha?
 
Haya mashindano yanahusu nini? Hizo timu sijui Bravos, Simba sijui constantine zinatoka wapi? mshindi anachukua mbuzi au gunia la maharage? Nina timu yangu huku Bunju ninaruhusiwa kujiandikisha?
Jana mlikandwa vibaya mno.
 
Hawa ni mashabiki

View attachment 3162646

View attachment 3162655

Na huyu ni Afisa Habari wao

View attachment 3162653

Na huyu ni former kocha wao
View attachment 3162656

Na hawa ndio wachezaji wao
View attachment 3162654

Na huyu ndio striker wao kinda
View attachment 3162658

Then watumbuizaji na wakata viuno wa hii bendi wakifungwa mechi eti wanaona hawakustahili kupata matokeo ya aina hiyo.
Umetisha sana.
Kuna hiyo moja ya Tanga kuna kilio cha Baabu 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom