Full time: Simba SC 1 - 0 Bravos do Maquis FC | CAF CC | Benjamin Mkapa Stadium | 27-11-2024

Full time: Simba SC 1 - 0 Bravos do Maquis FC | CAF CC | Benjamin Mkapa Stadium | 27-11-2024

Taratibu akili zitawakaa tu vizuri, naubovu wote wa simba miaka ya hivi karibuni haijawahi kupoteza game ya kimataifa dhidi ya ibenge na timu mbovu mbovu kama al hilal,: naona sasa hamtoi zile ahadi za simba akishinda upigwe ban kwani wakubwa wamekuwa wakiwatendea haki baada ya game. Ipo siku kila mtu ataishabikia simba.
Timu mbovu ziko shirikisho ungekuwa Bora ungecheza klabu bingwa kwenye timu Bora,,Al hilal wako klabu bingwa wewe upo shirikisho sijui timu Bora ni ipi hapo!
 
Mgeni rasmi msaidizi mechi ya leo ni Coulibaly. Mtu wa maana kabisa yule
 
Kikosi chetu cha Ushindi!!
20241127_150501.jpg
 
Timu mbovu ziko shirikisho ungekuwa Bora ungecheza klabu bingwa kwenye timu Bora,,Al hilal wako klabu bingwa wewe upo shirikisho sijui timu Bora ni ipi hapo!
Hao Al hilal wanaoishi ukimbizini ndio unawazungumzia? Hujihisi aibu?
 
Hao Al hilal wanaoishi ukimbizini ndio unawazungumzia? Hujihisi aibu?
Wanaoishi ukimbizini wako klabu bingwa vipi wewe uliye salama nyumbani kwako mbona uko shirikisho? Na ukapata nafasi ya viti maalum kushiriki mashindano ni nani Bora?
 
Taratibu akili zitawakaa tu vizuri, naubovu wote wa simba miaka ya hivi karibuni haijawahi kupoteza game ya kimataifa dhidi ya ibenge na timu mbovu mbovu kama al hilal,: naona sasa hamtoi zile ahadi za simba akishinda upigwe ban kwani wakubwa wamekuwa wakiwatendea haki baada ya game. Ipo siku kila mtu ataishabikia simba.
Mi nna mkeka wangu tu hivyo vingine sihusiki navyo
 
Taratibu akili zitawakaa tu vizuri, naubovu wote wa simba miaka ya hivi karibuni haijawahi kupoteza game ya kimataifa dhidi ya ibenge na timu mbovu mbovu kama al hilal,: naona sasa hamtoi zile ahadi za simba akishinda upigwe ban kwani wakubwa wamekuwa wakiwatendea haki baada ya game. Ipo siku kila mtu ataishabikia simba.
Sema Simba ikifungwa utapita uchi tukuchore
 
Back
Top Bottom