Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Leteni update tupo kwenye uchaguzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Y...!!Uwanjani hakuna watu
0-0 mnacheza na VIBONDELeteni update tupo kwenye uchaguzi
Kwa kweli Leo promo ya Ahmed Ally imefeli.Ndo hivyo boss
Yaani timu ishinde.Huyu dogo aache uchoyo. Atoe pasi
Mnoo, ila si mbaya sana. Ni magap makubwa makubwa.Kwa kweli Leo promo ya Ahmed Ally imefeli.
napua lako kama kiazi kitamu0-0 mnacheza na VIBONDE
na wala hatukuwaambia watapigwa mkono kama alivyoongea Mwamnyeto0-0 mnacheza na VIBONDE
Yees. Mdogo mdogo watu wa Dar wataelewa.Mnoo, ila si mbaya sana.
Mko bize na kuiba kura sio...Mnaoangalia mechi mtujuze sisi wengine tuko kazi maalumu
Timu mdebwedo washindwe wao tu0-0 mnacheza na VIBONDE
Umerogwaatebaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mwamnyeto alidhani ile mechi ni mchuano ya mistutano na mipasho.na wala hatukuwaambia watapigwa mkono kama alivyoongea Mwamnyeto
Nasubiri goliKipa kashaanza kupoteza muda
Jamaa wana kipa mtata hakuna goli leo labda mpewe benati ya ubwelaKipa kashaanza kupoteza muda