Full time: Simba SC 1 - 0 Bravos do Maquis FC | CAF CC | Benjamin Mkapa Stadium | 27-11-2024

Yaani anapanga timu anavyojisikia, nimekaa paleee, atakuwa kocha wa msimu mmoja
Hahahah Vipi lakini Makasiriko Yanakuwasha wapi hapo 🤣🤣🤣🙌🙌
Simba Mchezo wetu huwa hauna Kelele na wala hatutumii Madawa
 
Dakika ya 84

Simba 1

Bravos 0

Samuel Bengu wa Bravos amefanyiwa faulo
 
Hizi ni Mechi za Kimataifa, 'za kulonda kazi ya Jeshi Ugangamale'...!

Jana Utopolo Katolewa Kamasi...! Famasiala!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…