Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Inashangaza kwa kweli.Yani Chasambi anacheza dakika 80+ Captain Lucho yuko nje? Okejefah alikuwa na game nzuri, unamtoa unamuingiza Mutale kweli?... Kuna muda makocha huwa wanarogwa eeh?