shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Alisikika topolo moja likisema kwa uchungu mkali wakupasuliwa jana.Sio yeye huyo wewe Angola huko mnaenda kufa goli nyingi hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisikika topolo moja likisema kwa uchungu mkali wakupasuliwa jana.Sio yeye huyo wewe Angola huko mnaenda kufa goli nyingi hahaha
Hawa vyura wa utopolo hivi wana akili kweli..hii ni group stage hapa ni points tuu...yy kashapasuka huku kwetu kila mtu ashinde mechi zake..kwa Mkapa ni machinjioni...
Ilikua balaaa....yani viclip vinatembea tuu vya tobo huku mtaaani..Hasa lile tobo😂 kama la mzee toboa tobo🙌🏿🙌🏿🏃🏿😂
Hata wanaelewa? Ndio maana Jana walitaka kupiga 5G matokeo yake?.Hawa vyura wa utopolo hivi wana akili kweli..hii ni group stage hapa ni points tuu...yy kashapasuka huku kwetu kila mtu ashinde mechi zake..kwa Mkapa ni machinjioni...
Angalia mnavyoenda kupasuka huko Angola
Angalia mnavyoenda kupasuka huko Angola
Mganga bado hajapona🤣Ilikua balaaa....yani viclip vinatembea tuu vya tobo huku mtaaani..
Wenzio wanaitaka 5G. 😂😂Tuwakumbushe tuu..kwny hii stage hakikisha unapata point sio sifa...matapishi FC hahahaha
Hapa mliweka gundu jana, kule anapigika bila shida.Hii haijaisha.. kolo akienda kwao lazima apasuke
We ukitaka kuujua ugumu wa kufunga penalty, muulize KIAZIZ.Kumbe bila penati ngoma ingekuwa draw
Labda waboost na mijisindano yao...ila hivihivi nehi nehi...huku kila timu inataka ushindi...Wenzio wanaitaka 5G. 😂😂
Game ya marudiano mfungwe tuHapa mliweka gundu jana, kule anapigika bila shida.
Ngoma akipata mkabaji mzuri pembeni anakupa game nzuri sana, shida huanza pale unapompa majukumu ya kukaba na kuchezesha completely.Yule Ngoma nimeangalia pass zake kwakweli ziko very accurate...hapotezi akitaka kumpa mtu inaenda pale pale...safi sana
Mwalimu ameshaona panapovuja...Ngoma akipata mkabaji mzuri pembeni anakupa game nzuri sana, shida huanza pale unapompa majukumu ya kukaba na kuchezesha completely.
Hata tukifungwa haichukui nafasi ya Daktari hahahahhaahhaah pole weee...Game ya marudiano mfungwe tu
Msalimie sanaHuyo kaingia mitini hahaha
mchumba wangu mambooHata tukifungwa haichukui nafasi ya Daktari hahahahhaahhaah pole weee...
😃😃😃Tuwakumbushe tuu..kwny hii stage hakikisha unapata point sio sifa...matapishi FC hahahaha