Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

Ushauri wa bure...
Inahitaji central defender mwenye kasi...
Hamza ni mzuri but slow.....
Che MALONE anahitaji patner anaweza kufanya correction anapotekeza...
 
Wawakilishi wa Taifa
 
Dakika ya 32

SSC 1
CSS 1

Ateba anakosa goal la wazi kabisa baada ya mlinzi kujichanganya hapa...daaah
 
Laiti FOWADI simba ingekuwa inaingia kwenye box kwa kasi + pressure+ numbers ....wangefunga nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…