Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibu yupo vizuri kuliko hata ateba26' Kona kwa Sfaxien, inamiminwa na Ahoua, Ateba anakosa anapiga kichwa ..njeee
Ateba amebadilika sana, tena zaidi ya zuwenaHivi kwa nini Ateba anaakaa sana offside..huwa hajui au?? Kama ile mechi constatine kila mara alikua offside
Tusubiri 90Ya Tripoli yanajirudia leo 3-1
Wawakilishi wa TaifaLeo ndio leo kwenye kipute hiki cha Kombe la Shirikisho Africa kati ya wenyeji Simba ya Tanzania na wageni Sfaxien ya Tunisia.
Hii ni Match Day 3 kwa timu hizi na mechi zilizopita wote walichezea kichapo ugenini (2-1 na 3-2). Leo kila mmoja anatafuta ushindi kufufua matumaini ya hatua ya makundi.
Mechi hii itapigwa saa 10 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Nini kitatokea katika Dimba la Benjamin Mkapa leo? Kuwa nami mwanzo hadi mwisho wa mchezo huu kupitia JamiiForums.
Azam na DStv pia watarusha mechi hii.
View attachment 3177038
---------------------------------------------
Updates : 1500 Hours Vikosi vya leo
View attachment 3177287View attachment 3177288
________________________________________________
1' Mpira umeanza kwa Simba kuanzisha mpira hapa... wanashambulia lango la Sfaxien lakini Zimbwe anapiga pasi kuuubwa inaenda nje
2' Goooaaaal Sfaxien wanapata goal hapa kupitia Hazem Hassen
06' Simba wanashambulia hapa Kibu Denis anaangushwa... Freekick inapigwa na Jean Ahoua.. Kibu anafungaaaaa goal 1-1
09' Simba wametulia wanafanya shambulizi la Kushtukiza lakini Sfaxien wanaokoa shambulizi hilo
14' Simba wanamiliki mpira kwa Kiasi kikubwa kwa chenga za hapa na pale wanajaribu kuingia lakini mpira unatolewa nje
19' Musa Conte anamdondosha Awesu Awesu na Simba anapata freekick, Jean Ahoua anapiga ndefu ila kipa wa Sfaxien, Dahmen anaidaka
24' Kapombe anapress kuelekea Sfaxien anampasia Ateba lakini control yake inakuwa sio nzuri anadhibitiwa na mabeki wa Sfaxien matokeo bado ni 1-1
29' Kapombe anachezewa faulo hapa inakuwa ni freekick nje kidogo ya 18.. Kibu anapiga inagonga ukuta, Zimbwe anaiwahi lakini anapiga inatoka nje
Badilisha kwenda kiswahili kwenye remoteHivi matangazo ya kiswahili yamegoma kote au ni huku kwangu tu kwenye azam
Anzisha team Yako itakayodai katiba mpya,Simba na Yanga ni mapandikizi ya ccm yanatumiwa kuwapumbaza watanzania wasidai katiba mpya au tume huru. Ziendelee kufungwa mpaka wazisahau
Kibu kaibuka leo toka mechi ya Tripoli. Kama Dube tu lakini anasemwa mwana mfalme kama kabeba vizazi vyenu
Kwani si mchezaji wa Simba
Akili za mandazi hizi
📌📌📌📌📌📌📌Simba na Yanga ni mapandikizi ya ccm yanatumiwa kuwapumbaza watanzania wasidai katiba mpya au tume huru. Ziendelee kufungwa mpaka wazisahau
Hawa jamaa ata pasi 4 mfululizo hawaweziHawa jamaa ukiacha uwarabu ni weipe sana