herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
Yeah kwa maelezo ya mchambuzi5
kwani ana kadi 2?
huyu tumepigwa pakubwa sanaMugaluuu leo vipii
ππππππππππππππMugalu salamu za kmmke zikufikie popote ulipo jibwa wee
Ila huyu Mugalu atakuwa ana limbwata sio bure....yaani anasifiwa sana halafu uwanjani ni low class striker....
Anapangwa kila mechi....itakuwa anatumia vumbi la Congo.
Simba aliwakodishia Basi la Happy Nation wakalikataa wakachukua kivyao la Friends wao Azam. Anyway vyovyote iwavyo sawaπππSio kwamba wamepokelewa na Azam. Simba ndio imewapokea kama mwenyeji, na imewakodishia basi la Azam. Ni utaratibu wa kawaida wa CAF. Hata Namungo wanaweza wakaomba basi la Simba litumiwe na wageni wao Nkana
Al Merrick alifunga 1 akikosa mengiMugalu zaidi ya kufunga ile penati kule Congo alifunga mechi gani tena?