Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Baada ya waarabu kusikia ivo, taarifa zimethibitisha kua, imebidi wabebweHaitamsaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya waarabu kusikia ivo, taarifa zimethibitisha kua, imebidi wabebweHaitamsaidia
Ha haha,teh tehOyoooooooooooo
Mkuu ahly ame draw leohata akitushinda 100 hawezi kufikisha point tulizonazo
Niwaombe ,nmegundua kituTuko kwenye maombolezo tume score 4
Imagine tusingekuwa kwenye maombolezo
Simba 4- 1 VitaTupe matokea ya sudan
ahly ana point 8 mpaka sasa, sisi tuna 13..... bado game moja tu ya simba vs ahly so wakitufunga watakua na point 11.....Mkuu ahly ame draw leo
Dah kwaiyo Mosimane atakutana na waajiri wake wa zamaniAsante Mungu umetuepusha na Mamelod mbwa wale
Mwisho wake umefika,wale wanapiga nje ndaniDah kwaiyo Mosimane atakutana na waajiri wake wa zamani
Hawa vita wana bahati tuko kwenye maombolezi, wangekula za kutosha leo!00' Mwamuzi anapuliza kipenga kuashiria mwanzo wa mchezo
30' Luis Miquissone anapiga goli la kwanza kwa upande wa Simba
32' Goli la Simba halidumu baada ya Zemanja Soze wa AS Vita kusawazisha dakika mbili baada ya goli la kuongoza la Simba
45+1' Cloutas Chama anaifanya Simba kumaliza kipindi cha kwanza vizuri baada ya kuiongezea Simba bao la pili
45+2' Mapumziko
66' Larry Bwalya anaweka goli la tatu kwa shuti kali, Simba 3-1 AS Vita
84' Cloutas Chama anakandamiza bao la nne
90' Mpira umekwisha na Simba inakusanya alama 13 ambazo hazitaweza kufikiwa na yeyote kundi A bila kujali matokeo ya mechi za mwisho
ahly ana point 8 mpaka sasa, sisi tuna 13..... bado game moja tu ya simba vs ahly so wakitufunga watakua na point 11.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hao ndo tungewachapa vzuri vzuriAsante Mungu umetuepusha na Mamelod mbwa wale
Leo naona tumemmiss mzamiru, labda match fitness ya mkude haiko sawa, alipwaya sana...Bora Mzamiru hajaanza, anapotezaga mipira sana
Hawa tuna undugu nao hata ceo wetu anajua, tukienda misri tunaenda kuangalia the mummies aka kutalii...ahly ana point 8 mpaka sasa, sisi tuna 13..... bado game moja tu ya simba vs ahly so wakitufunga watakua na point 11.....