FULL TIME: Simba Sc 4-1 AS Vita | CAFCL | Mkapa Stadium

FULL TIME: Simba Sc 4-1 AS Vita | CAFCL | Mkapa Stadium

13160091_smallgirlmeme_jpeg_jpeg53177fea5903d43bbfbf98e0d56cf0ae.jpeg
 
00' Mwamuzi anapuliza kipenga kuashiria mwanzo wa mchezo

30' Luis Miquissone anapiga goli la kwanza kwa upande wa Simba

32' Goli la Simba halidumu baada ya Zemanja Soze wa AS Vita kusawazisha dakika mbili baada ya goli la kuongoza la Simba

45+1' Cloutas Chama anaifanya Simba kumaliza kipindi cha kwanza vizuri baada ya kuiongezea Simba bao la pili

45+2' Mapumziko

66' Larry Bwalya anaweka goli la tatu kwa shuti kali, Simba 3-1 AS Vita

84' Cloutas Chama anakandamiza bao la nne

90' Mpira umekwisha na Simba inakusanya alama 13 ambazo hazitaweza kufikiwa na yeyote kundi A bila kujali matokeo ya mechi za mwisho


==========

Kikosi kinachoanza Leo dhidi ya as Vita club

View attachment 1742183

Hawa vita wana bahati tuko kwenye maombolezi, wangekula za kutosha leo!
 
ahly ana point 8 mpaka sasa, sisi tuna 13..... bado game moja tu ya simba vs ahly so wakitufunga watakua na point 11.....
Hawa tuna undugu nao hata ceo wetu anajua, tukienda misri tunaenda kuangalia the mummies aka kutalii...
 
Naomba nirudie hapa leo ni kwa faida ya Yanga, wanaoiaribu yanga ni mashabiki coz mmeaminishwa Simba huwa ananunua mechi na leo tena endelea kujiuliza hv n kweli huwa ananunua? Lazma mjue kichaka cha viongozi wenu wanajifichia kwenye kichaka cha Simba ananunua mechi marefa wanalipwa na Mo. Jmn km vipi hamieni Simba tu. Watu wanahama dini, kabla, nchi sembuse kuhama Yanga?
 
Back
Top Bottom