Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Wacha tujiachie ndugu yangu.maisha yenyewe yako wapi? Hali ilikua si Hali.
Na kweli baada ya dhiki faraja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha tujiachie ndugu yangu.maisha yenyewe yako wapi? Hali ilikua si Hali.
mechi ya Misri haina madhara yeyote ni kukamilisha ratiba tu. Msimamo utabaki kama ulivyoVipi kule misri?
Ila ukijiuliza mpira el melick ya kutoka suluhu na Al ahly kweli?mechi ya Misri haina madhara yeyote ni kukamilisha ratiba tu. Msimamo utabaki kama ulivyo
Chama ni aina ya Watu wanaokunyima kimoja na kukupa kingine.Chama kachelewa tena kuachia mpira mapema
Gomez mitano tenaYote kwa yote huyu kocha wa simba ni fundi mnoooo.
Anajua mipango hatari.
Ahly hata watufunge 100. Atakuwa na point 11 Simba ana 13Vipi, hivi ahly akitushinda bao nne tunaweza kuwa group winner
Mnamlaumu kashindwa kufunga kwani kazi ya yule Goalkeeper ni nini?...ingekuwa Manula kacheza hivyo si mngempongeza?.Daaah wachezaji wali-relax Sana kwa furaha baada ya kufunga lile goli moja. Simba inabidi ikaze sana hii mechi vinginevyo tutapoteza kwa ujinga wetu.
Kwanza Mugalu mzinguaji sana, Sasa hivi ilitakiwa tuwe tunaongoza mbili, kitu linabaki na kipa, mabeki walishakata tamaa ila linashindwa kufunga.
Usifikiri atakayecheza badala ya Mugalu basi naye atakutana na nafasi hziohizo anazopata Mugalu.....kunaweza kusiwe na hizo kosakosa na ikawa "no Mugalu no nafasi za wazi"Wadau kama kuna mtu anajiamini kabisa kwamba Uchawi uppo mimi nimpe tenda, MUGALU awe mgonjwa kila mechi ya Simba ili asipangwe. Nipo tayari kutoa donge nono.
All Simba Fans "SAY NO TO MUGALU"
Hawa mamelod wana point sawa na simba, kwa nini mnawaogopa sana? Wametuzidi goli moja la kufunga. Tumefungwa goli moja tu sio kama wao.Mamelod wana balaa
Acha waendelee kukia tu hamna neno.Nilikua Niko majonzini Hadi siku 21 ziishe,lakini kuanzia usiku huu nimehamishia Kijiji nyumbani kwangu,watu wanacheza ngoma na kunywa pombe za kienyeji,nimenunua pipa Saba na pombe nimechinja ng'ombe watu wanakula wanakunywa na kucheza...
Achaaaa kabisaaa!!!hatareeeee
Kabisa mkuu,,, mugalu huwa anajitajid na yeye kujitengenezea nafasi... ni vile tu haikuwa siku mzuri kwakeUsifikiri atakayecheza badala ya Mugalu basi naye atakutana na nafasi hziohizo anazopata Mugalu.....kunaweza kusiwe na hizo kosakosa na ikawa "no Mugalu no nafasi za wazi"
VP mikia unazo habalisimba leo anakufa gori 2 bila kama amesimama