ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,362
- 2,991
Simba ikitinga fainali uje na jipyaHizi mechi nitaanza kufuatilia kuanzia robo fainali ambapo makapi yataanza kutenganishwa na nafaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba ikitinga fainali uje na jipyaHizi mechi nitaanza kufuatilia kuanzia robo fainali ambapo makapi yataanza kutenganishwa na nafaka.
yaani nishindwe achwa mdomo wazi na al ahly niachwe na hizi timu mbili mbovu zilizo kutanaSimba imekuacha mdomo wazi we utopolo.
Hee...Hizi mechi nitaanza kufuatilia kuanzia robo fainali ambapo makapi yataanza kutenganishwa na nafaka.
Wewe! Levo zenu mlandege ya visiwani Zanzibar [emoji23][emoji23][emoji23]yaani nishindwe achwa mdomo wazi na al ahly niachwe na hizi timu mbili mbovu zilizo kutana
[emoji16][emoji16][emoji16]Bado waaendelea najua hutakuja kusoma tena, tatizo ni kujilinganisha, ukiilinganisha humkubali alie mbali nawe.Hizo hadithi mwisho wenu leo
Aletwe yeyote!!Mnataka Nusu fainal tucheze na Nani??
Mkuu wale ni majirani hivyo wanijuanaIla ukijiuliza mpira el melick ya kutoka suluhu na Al ahly kweli?
Urudie post yako na furaha uliyonayo juu ya vita, vijana wadogoo, ila mmejaliwa wivu tu.mimi niteseke tena uliza unafuraha ukiwa wapi? timu as vital
Kwenye mazoezi Yuko motoo!!! Ana vitu vya ziada na atakapoanza kufunga mtampenda!! Mahesabu ya kocha ni ya mbele Sana !Sijui kwanini kocha anamuamini kupiga kiasi hivyo..!
kwamba wivu namuonea nani wewe ama moUrudie post yako na furaha uliyonayo juu ya vita, vijana wadogoo, ila mmejaliwa wivu tu.
Inaonekana unaumia mno mkuu,pole sanaNaomba watu wasichangie uzi huu wa kipuuzi!
Tumvumilie, kocha Ana maana yake!! Atakapoanza kufunga dunia itamkoma!! Kocha analea kipaji na ana uhakika malezi haya yatalipa baadaye!! Huo ni ukomavu wa kocha, Kuna vitu adimu ameviona kwa Mugalu!huyu tumepigwa pakubwa sana
umeona kitu gani zaidi ya kushindwa kufunga akiwa yeye na kipa? mechi zote 2. Kifupi tunamuomba kocha aanze scouting ya striker hata wa 500m.Tumvumilie, kocha Ana maana yake!! Atakapoanza kufunga dunia itamkoma!! Kocha analea kipaji na ana uhakika malezi haya yatalipa baadaye!! Huo ni ukomavu wa kocha, Kuna vitu adimu ameviona kwa Mugalu!
🤣🤣🤣🤣sawa bhanaLeo msibani watuache kidogo..tutafidia siku ya 22 [emoji1787][emoji1787]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣raha zote unapewa na simbaKama simba ikiendelea kushinda hivi sioni haja ya Mimi kuwa na mpenzi
Utopolo keshahamisha goli tayari. Anateseka Hadi anatia huruma!!Hizi mechi nitaanza kufuatilia kuanzia robo fainali ambapo makapi yataanza kutenganishwa na nafaka.