majebelenzoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 288
- 465
Ulitaka washinde ngapi kwani nechi ya yanga na dodoma jiji? Mashosti wanapeana migoli bwerere, kenge nyieLeo tumeshinda kamoja kama kawaida yetu na dakika 3 zimeongezwa wala hakuna lawama kwa waamuzi. Hakuna tena hujuma za 50m kutoka kwa KIGOGO asiye na jina. π
kwenye huu uzi kakuita nani mkuu nenda kwenye uzi unaostahili kwako kama ni mapishi ,mahusiano siasa nenda hukoNguvu mnayotumia kushabikia haya matakataka yenu simba na Yanga mngeitumia kuleta katiba mpya taifa lingekuwa mbali sana. Aibu kubwa mmekalia simba na Yanga kenge kweli
Kazingua sana huyu falaDu, mnyang'a nye filimbi huyo
Msitufokee sasa..Kama inauma chomoa mwiko
Ukimfukuza chizi tupa na makopo yake kabisaShetani na mama mkwe wake wamepigwa
Kesho wanacheza na watoto WA mdhamini mmoja tutabiri magoli?Ulitaka washinde ngapi kwani nechi ya yanga na dodoma jiji? Mashosti wanapeana migoli bwerere, kenge nyie
Silenzio vafffncloooUlitaka washinde ngapi kwani nechi ya yanga na dodoma jiji? Mashosti wanapeana migoli bwerere, kenge nyie
Ninune kwa lipi ilhali mnyama keshafunga mahesabu ya mzunguko wa kwanza akiwaacha mbali tu vibarua wote wa GSM!?Kesho utanuna wewe
Ila huyo karubadika aliyewaahidi hela kafurahi sana kwa Singida kupigwa maana hakuwa hata na hela ya kuwapa iwapo wangeshinda mamaeeh
Refarii ametunyima goli halali kabisa.Tumenyimwa goli hapa hakukuwa na faulo yoyote pale
Shida yako ni nini mpendwa?Deus Elias MPANZU Kaseke
Mechi 3
Goal 0
Assist 0
Chance Created 0
Mikimbio 100Km
Acheni porojo, mtu ndio kwanza ameanza mmeanza kumuwekea takwimu, tupe na takwimu za kina Mzize, Musonda, Dube na Aziz wakiwa na idadi ya mechi hizoDeus Elias MPANZU Kaseke
Mechi 3
Goal 0
Assist 0
Chance Created 0
Mikimbio 100Km
Ingekuwa wamenyimwa wale wazee wastaafu wangekuwa wameshafika FIFA kupeleka malalamiko.Goli halali refarii ametunyima