ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Hawa guinea mbona wamoto hivi tutatoboa?Tusikate tamaa tunaweza tukapenya kwenye hili kundi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa guinea mbona wamoto hivi tutatoboa?Tusikate tamaa tunaweza tukapenya kwenye hili kundi.
Walivyosikia timu ya DRC wamejaa wachezaji wanacheza ulaya na kwingineko na wao wakawehuka na kumleta mtu ambaye alishafeli long time ago kwenye taifa stars.Tena ana gundu hasa na timu ya taifa, umri umeenda, mpira umeisha, siasa tu
Nilisema tunashinda bila yeye, sasa kwanini wamemleta?
Nchi hii ujinga mwingi sana kuanzia juu hadi chini. Wanawaza siasa tu kila mahali. Ndio maana wataalam wa nchi hii wanakimbilia kufanya kazi nje ya nchi maana utaalam na siasa ni vitu viwili tofautiWenzetu wana kocha mzungu licha ya kuwa na makocha wengi wazawa sisi eti timu anapewa Mzanzibari, hajawahi kufanikiwa popote, ili kufurahisha samia
Mtu anakipiga UEFA umlete mchangani!!!??? Kuwa serious.Nasikitika tumefungwa japo magoli waliyotufunga ni mazuri sana!! Yule mfungaji wao wa magoli yote itabidi Yanga au Simba wamsajili!!
Mzize ni zigo la VIMA.Mzize ni kimeo, akienda waidad ataozea kwenye mbao ndefu.
Na shida ilianzia hapaSijatazama mechi ila kila kona mama hivi mama vile.
Hivi huyo mama anacheza nafasi gani kwenye hii timu?
Au ndio 4R tunazoambiwa?
View attachment 3125906h
Kwamba Mzize ni Lulu ya Taifa siyo!? Samatta na Kibu angalau wameonesha kitu uwanjani tena Kibu ndo asiguswe kabisa, amemwaga jasho lakutosha. Lile bwege la Yanga liitwalo Mzize siku nikiliona tena Stars itakuwa ndo mwisho kushabikia hilo team lenu.Samatta na Kibu ni mizigo kwa timu ya Taifa
Haya matimu yanaendeshwa kikondoo kwa ajili ya ku manipulate watu ili ku push ajenda za kisiasa watu washindwe kujadili mambo ya msingi.Nina furaha sana leo, make timu ya CCM Ingeshinda hivi sasa kungekuwa na Jam ya Press confrance za kumsifia Kizimkazi.
Safi sana Congo kwa kuwapiga timu ya CCM, Kizimkazi angepata milestone sana leo.
Yaani hao wakina Msigwa walikuwa walisha andaa na hotuba kabisa za kusifu na kuabudu. Kapteni Samata alikuwa na hotuba ya mumsifia Kizimkazi endapi wangeishinda Congo.
Safi sana na ombi langu ni hata huko Moroco tusiende kabisa make itakuwa ni full siasa za ki CCM.
Ombi langu la mwisho ni hao Simba na Yanga wasifike kokote kule make na wao ni wanatumika na kizimkazi tu.
Upenye uende wapi.... Guinea anakuja kutukaanga hapahapa ...Tusikate tamaa tunaweza tukapenya kwenye hili kundi.
Hatupenyi na naomba tusipenye. Lazima tuiheshimu football..kama tusipotenganisha siasa na football haya ndo yatakuwa matokeo yetu kila siku. Hata hizo Simba na Yanga si zimekubali kutumika na wanasiasa basi nakwambia hazifiki popote kimataifa msimu huu. Football ina njia zake.Tusikate tamaa tunaweza tukapenya kwenye hili kundi.
Utoboe uende wapi, guinea ya akina spider man kamara?Hawa guinea mbona wamoto hivi tutatoboa?
Hahaha!Na shida ilianzia hapa
kwa ushindi huu mwashambwa na tlatlaaa sijui wanabubujikwa na machozi wakiwa wapi huku wakijigaragaza chini kama kawaida yaoTunamshukuru sana Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan kwa matokeo haya ya Leo hakika bila juhudi zake tungefungwa zaid ya hizi.
jana walifungwa ccm jumamosi watafungwa yangaWazee wa lawama uwanja wenu wiki hii😅
Kama vipi waite kikosi kimya kimya wasitangaze
Siku ya mechi wacheze tu hata bila kurusha matamgazo wala mashabiki kujiepusha na lawama za hapa na pale
jana walifungwa ccm jumamosi watafungwa yangaWazee wa lawama uwanja wenu wiki hii😅
Kama vipi waite kikosi kimya kimya wasitangaze
Siku ya mechi wacheze tu hata bila kurusha matamgazo wala mashabiki kujiepusha na lawama za hapa na pale
kwakweli kule mashariki ya kati watoto wanakufa kwa makombora hafu aje ahangaike na mpira wa samiaMUNGU anakazi nyingi mno
wapinzani wameshinda gemu,ccm wameuawa kikatili jioniiiiiCcm imefungwa 😂😂😂😂
nimemkuta mahali akigaragra na kububujikwa na machozi ya furaha huku akiimba pambio mama anaupiga mwingiKwani @Lukasimwashamba anasemaje