Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024

Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024

Nina furaha sana leo, make timu ya CCM Ingeshinda hivi sasa kungekuwa na Jam ya Press confrance za kumsifia Kizimkazi.

Safi sana Congo kwa kuwapiga timu ya CCM, Kizimkazi angepata milestone sana leo.

Yaani hao wakina Msigwa walikuwa walisha andaa na hotuba kabisa za kusifu na kuabudu. Kapteni Samata alikuwa na hotuba ya mumsifia Kizimkazi endapi wangeishinda Congo.

Safi sana na ombi langu ni hata huko Moroco tusiende kabisa make itakuwa ni full siasa za ki CCM.

Ombi langu la mwisho ni hao Simba na Yanga wasifike kokote kule make na wao ni wanatumika na kizimkazi tu.
 
Yaani ji inchi hili linavyoboa kwenye mpira, wacha tu tuangalie epl tu ila hapa hapana aisee, yaani roho inavyouma kufungwa na hawa jamaa nyumbani, halafu walivyotudharau aiseeee hapana aisee hapana kabisa
Shida sisi tuna wadharau. Tumetoka nao sare afcon kule, wakatunga moja kwao tukajiona tunaweza pishana nao. Hii game ilihitaji plan hata ya sare tu. Ona sasa kilicho tukuta
 
🤔
 

Attachments

  • Screenshot_20241015-204119.jpg
    Screenshot_20241015-204119.jpg
    264.9 KB · Views: 4
Ethiopia na guinea tunaombea timu gani ishinde.?
 
kincho niuma sio kufungwa 2 ila matumiz mabaya ya pesa na ndege ya WaTz iliyobeba hizi ng'ombe hadi congo na kurudi tz kisha zikakubali kukamuliwa nje ndani...
tuache usengerema tuache siasa tz hatuna team hatuna coach, tujenge team miujiza na hamasa haiwezekan kwenye team ambayo ni kichwa cha mwendazimu...
Hivi uSengerema na uKunduChi ..... Upi afwadhali.... Hii timu hii....
 
Nina furaha sana leo, make timu ya CCM Ingeshinda hivi sasa kungekuwa na Jam ya Press confrance za kumsifia Kizimkazi.

Safi sana Congo kwa kuwapiga timu ya CCM, Kizimkazi angepata milestone sana leo.

Yaani hao wakina Msigwa walikuwa walisha andaa na hotuba kabisa za kusifu na kuabudu. Kapteni Samata alikuwa na hotuba ya mumsifia Kizimkazi endapi wangeishinda Congo.

Safi sana na ombi langu ni hata huko Moroco tusiende kabisa make itakuwa ni full siasa za ki CCM.

Ombi langu la mwisho ni hao Simba na Yanga wasifike kokote kule make na wao ni wanatumika na kizimkazi tu.
We si uliona AFCON iliyopolita mara kina mwijaku, babalevo,sijui Nyerere ambaye familia imemkataa.... Machawa kibaoooo eti timu ya hamasa wakaenda nao ivory coast wakati wachezaji wa zamani wapo na waliostaafu karibuni wapo ..... Nilifurahi sana tulivyotolewa mapema.
 
Back
Top Bottom