Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024

Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024

Zile pesa zinazotia hamasa kwa kila goal hazikuwepo leo?
Imekaaje hii!
 
NAONA WATU WANALAUMU TU KUWA ILA HAWAONI KAMA TIMU ILIPAMBANA SANA KILA MCHEZAJI ALIJITOA KWA NAMNA YAKE. KIUKWELI KUNA WATU HUMU WANACOMMENT UPUMBAVU SANA WAO KILA KITU WANALAUMU KAMA WAMEZALIWA SIKU ZA LAWAMA.

TUMEFUNGWA KIUWEZO TU WALA HAKUNA SABABU YA KUMPA LAWAMA KILA MTU .HAYA MLITAKA ACHEZE NANI ILI TUSHINDE

TANZANIA KUNA WATU WANALAUMU KILA KITU.
Tatizo ni zile rangi za migomba ya ndizo.... Zingeanza kelele za kumtukuza mtu.
 
Tuwe wakweli uwezo wetu wa wachezaji🇹🇿nimdogo sana ukilinganisha na Hawa wakongo.Wao utulivu nimkubwa Sanaa,hivyo Nawapongeza Taifa stars wamejitumaa sanaaa Jasho limewatoka sana lkn ndio soka katili.
 
Wenzetu wana kocha mzungu licha ya kuwa na makocha wengi wazawa sisi eti timu anapewa Mzanzibari, hajawahi kufanikiwa popote, ili kufurahisha samia
Hemed Morroco amewekwa hapo baada ya zile kero 23 za muungano kutatuliwa na Samia sio kwambao Yuko Taifa stars kwasababu ya uwezo hapana Bali Yuko pale kukamiliaha sheria na taratibu za muungano.
 
Safi sanaaaaa!!!!
Unamuita samata timu ya taifa utegemee Matokeo mazuri?

Acha tupigwe! Tu!
Unampanga mzize na mamnyeto halafu utegemee matokeo mazuri? Unajaza utopolo uwanjani halafu utegemee matokeo mazuri? Unamweka kipa ambaye hana namba kwenye kikosi cha kwanza cha timu yake halafu utegemee matokeo mazuri? unamweka kocha ambaye hana rekodi ya sasa ya mafanikio kimataifa halafu utegemee matokeo mazuri? Unaweka wachezaji wengi ambao mawazo yao kwa sasa si mechi ya Taifa stars bali ni ile ya terehe 19 halafu utegemee matokeo mazuri?
 
Unampanga mzize na mamnyeto halafu utegemee matokeo mazuri? Unajaza utopolo uwanjani halafu utegemee matokeo mazuri? Unamweka kipa ambaye hana namba kwenye kikosi cha kwanza cha timu yake halafu utegemee matokeo mazuri? unamweka kocha ambaye hana rekodi ya sasa ya mafanikio kimataifa halafu utegemee matokeo mazuri? Unaweka wachezaji wengi ambao mawazo yao kwa sasa si mechi ya Taifa stars bali ni ile ya terehe 19 halafu utegemee matokeo mazuri?
Wote tunalalamika ila wewe huna hoja kabisa, nisamehe kukuita mbumbumbu wa football
 
Back
Top Bottom