Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Hapana tubaki hapahapa Kwa Nyerere........Kilichosalia saizi Kwa mechi 2 zijazo tucheze bila tention kwamba tushayltoka pengine tunaweza shinda zote 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana tubaki hapahapa Kwa Nyerere........Kilichosalia saizi Kwa mechi 2 zijazo tucheze bila tention kwamba tushayltoka pengine tunaweza shinda zote 2
Tatizo ni zile rangi za migomba ya ndizo.... Zingeanza kelele za kumtukuza mtu.NAONA WATU WANALAUMU TU KUWA ILA HAWAONI KAMA TIMU ILIPAMBANA SANA KILA MCHEZAJI ALIJITOA KWA NAMNA YAKE. KIUKWELI KUNA WATU HUMU WANACOMMENT UPUMBAVU SANA WAO KILA KITU WANALAUMU KAMA WAMEZALIWA SIKU ZA LAWAMA.
TUMEFUNGWA KIUWEZO TU WALA HAKUNA SABABU YA KUMPA LAWAMA KILA MTU .HAYA MLITAKA ACHEZE NANI ILI TUSHINDE
TANZANIA KUNA WATU WANALAUMU KILA KITU.
Samatta alikukosea nini?, katika wachezaji walifanya vizuri leo ni samattaSafi sanaaaaa!!!!
Unamuita samata timu ya taifa utegemee Matokeo mazuri?
Acha tupigwe! Tu!
Hemed Morroco amewekwa hapo baada ya zile kero 23 za muungano kutatuliwa na Samia sio kwambao Yuko Taifa stars kwasababu ya uwezo hapana Bali Yuko pale kukamiliaha sheria na taratibu za muungano.Wenzetu wana kocha mzungu licha ya kuwa na makocha wengi wazawa sisi eti timu anapewa Mzanzibari, hajawahi kufanikiwa popote, ili kufurahisha samia
ukimani wanaweza kuruka matawi ya mitiHii nchi kuna kitu tunaweza kweli? 🚮
Unampanga mzize na mamnyeto halafu utegemee matokeo mazuri? Unajaza utopolo uwanjani halafu utegemee matokeo mazuri? Unamweka kipa ambaye hana namba kwenye kikosi cha kwanza cha timu yake halafu utegemee matokeo mazuri? unamweka kocha ambaye hana rekodi ya sasa ya mafanikio kimataifa halafu utegemee matokeo mazuri? Unaweka wachezaji wengi ambao mawazo yao kwa sasa si mechi ya Taifa stars bali ni ile ya terehe 19 halafu utegemee matokeo mazuri?Safi sanaaaaa!!!!
Unamuita samata timu ya taifa utegemee Matokeo mazuri?
Acha tupigwe! Tu!
taifa stars haiwezi kushinda kwa huyu kocha tuliyenae na hilo benchi zima,hawa makocha wa kugawana mishahara na viongozinwa tff hawatufikishi popoteMungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Taifa stars
Wamalize mchezo salama kwa ushindi bila majeraha.
Ila Mzize alivyoitwa kwako ni sawa!?Safi sanaaaaa!!!!
Unamuita samata timu ya taifa utegemee Matokeo mazuri?
Acha tupigwe! Tu!
Wote tunalalamika ila wewe huna hoja kabisa, nisamehe kukuita mbumbumbu wa footballUnampanga mzize na mamnyeto halafu utegemee matokeo mazuri? Unajaza utopolo uwanjani halafu utegemee matokeo mazuri? Unamweka kipa ambaye hana namba kwenye kikosi cha kwanza cha timu yake halafu utegemee matokeo mazuri? unamweka kocha ambaye hana rekodi ya sasa ya mafanikio kimataifa halafu utegemee matokeo mazuri? Unaweka wachezaji wengi ambao mawazo yao kwa sasa si mechi ya Taifa stars bali ni ile ya terehe 19 halafu utegemee matokeo mazuri?
Sawa, ngoja tuwaache wachezaji, tusiwalaumu, lakini mama tuachie, lawama ziende kwakeTUMEFUNGWA KIUWEZO TU WALA HAKUNA SABABU YA KUMPA LAWAMA KILA MTU .HAYA MLITAKA ACHEZE NANI ILI TUSHINDE