Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu pale, kazi kujiftua makwapa tu, hajui mpira kabisa , basi bahati tu, yaani msuva ni bora mara elfuMi kwakweli sionagi umuhimu wake heri Msuva
Sema Sub za leo zimekuwa za Hovyo.Kuna senior kaja na mkosi.
Kuna watu hawakuwepo tumeshinda na draw moja...
Si amefanya sub ya Mwamnyeto na Himid Mao.Ila Morroco bana sub ziko tano wachezaji akina faisal, Samatta walishaonesha kuchoka unashindwa nini kutumia uliokua nao nje. Tumia sub zako hasa unapoona hupati matokeo kwa uliokua nao maliza zote tu watu wakapambana.
Sare ilitakiwa Kwa hizo subMnahitaji ushindi unaingiza mwanyeto na Himid mao ...kubabeki..... Wapigwe tu
MUNGU anakazi nyingi mnoMungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Taifa stars
Wamalize mchezo salama kwa ushindi bila majeraha.
Tena ana gundu hasa na timu ya taifa, umri umeenda, mpira umeisha, siasa tuKuna senior kaja na mkosi.
Kuna watu hawakuwepo tumeshinda na draw moja...
Hongera Kwa kushinda njaaGame ngumu hii ila tunashinda
Labda kocha kaona hizo sub ndo maiti kabisa Bora hata ya hao wagonjwa wanaojikongoja uwanjaniIla Morroco bana sub ziko tano wachezaji akina faisal, Samatta walishaonesha kuchoka unashindwa nini kutumia uliokua nao nje. Tumia sub zako hasa unapoona hupati matokeo kwa uliokua nao maliza zote tu watu wakapambana.