Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pumbavu michadema ni hovyo sana ndio maana mnatekwa
Full time wapinzani 2 ccm 0Leo Jumanne, Taifa Stars itakuwa dimba la Benjamin Mkapa kwa kazi moja tu kusaka ushindi dhidi ya DR Congo katika mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2025 nchini Morocco.
Mechi hii itachezwa saa 10:00 jioni
Mpira umeanza kipindi cha kwanza na DR Congo ndiyo wameanzisha gozi.
Dakika, 2 Stars wanapata kona.
Dakika, 4 Stars wanafanya shambulizi zuri sana na kupata kona.
Dakika 6 Taifa Stars wamefanya shambulizi zuri kutoka kwa Mzize.
Dakika,12 Sammata anakosa goli hapa.
Dakika, 18 DRC wamefanya shambulizi zuri.
Dakika, 38 Mpira umekuwa kasi sana
Dakika, 39 Kibu anakosa nafasi ya wazi
Dakika, 42 Ali Salmu anafanya save nzuri na kuwaweka salama Taifa Stars.
Zimeongezwa Dakika 3 kukamilisha dakika 45 za kipindi cha kwanza.
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimekamilika Tanzania 0 - 0 DR Congo.
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika,52 Taifa Stars wamefanya majaribo mawili lakini wameshindwa kutumia nafasi vyema.
Dakika, 73 DR Congo na Taifa Stars wamefanya Mabadiliko ya wachezaji
Ametoka Mudathri anaingia Mao. Kwa upande wa DRC anaingia Mayele.
Dakika 84 Mzize anatoka nafasi yake inachukuliwa na Mwalimu Hassan.
Dakika, 86 DRC wanapata goli
Dakika,93 DRC Meshakc Anawapatia goli la pili
Umena vema sana.Hatuna uwezo wa kushinda labda tukijitahidi sare
Akili tu mwanetuKipa kufanyaje wakati mpira umedunda?
Game ngumu hii ila tunashinda
Haloo!Mtanzania huwa nawashauri watu kwenye mpira msitoe komenti zakuonyesha ushindi ni lazima,ona Sasa tofauti na ulichosema.leo tunashinda ale mtu ateme mtu tunashinda
Mnahitaji ushindi unaingiza mwanyeto na Himid mao ...kubabeki..... Wapigwe tuKuna majitu yanaitwa Kwa sababu za Majina tuu ila ni msaadaless
Akili, Mzize was helping kukaba.Kijasho Chembamba
Pumbavu sana yani hao vijana 😅😅😁😁
Mayelle aliamua kuacha kufunga ila kwa upumbavu wa hao vijana wakaachia mwanya tenaPumbavu
Anyway. Kuna game MbiliHaloo!Mtanzania huwa nawashauri watu kwenye mpira msitoe komenti zakuonyesha ushindi ni lazima,ona Sasa tofauti na ulichosema.
Muilize JKT si ya jeshi?Huko Jeshi Wameshindwa nini kutoa wachezaji wa Taifa stars? Hovyo tuu
Sio BASI tu... Hii ni treni Tena ya SGR..,Basi Tena