Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024

Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024

Mpira umeishaaaa the end......

Gongo my favorite national
 
Chapa pugusee , mupira ya kabhambe, bhalie machozi ya mingi na bhibhi zao bhote , mee bhakongolee bhakiirudia tunabakalangila makako bhakule bhavijana wametumika mukazi
 
Huo ukuta ni upuuzi huko nyuma...kama.kipa kajitahidi kupangua michomo mpk dkk 77...hao nyuma hapo kina mwamnyeto sijui walikua kama picha??
 
Leo Jumanne, Taifa Stars itakuwa dimba la Benjamin Mkapa kwa kazi moja tu kusaka ushindi dhidi ya DR Congo katika mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2025 nchini Morocco.

Mechi hii itachezwa saa 10:00 jioni


Mpira umeanza kipindi cha kwanza na DR Congo ndiyo wameanzisha gozi.

Dakika, 2 Stars wanapata kona.

Dakika, 4 Stars wanafanya shambulizi zuri sana na kupata kona.

Dakika 6 Taifa Stars wamefanya shambulizi zuri kutoka kwa Mzize.

Dakika,12 Sammata anakosa goli hapa.

Dakika, 18 DRC wamefanya shambulizi zuri.

Dakika, 38 Mpira umekuwa kasi sana

Dakika, 39 Kibu anakosa nafasi ya wazi

Dakika, 42 Ali Salmu anafanya save nzuri na kuwaweka salama Taifa Stars.

Zimeongezwa Dakika 3 kukamilisha dakika 45 za kipindi cha kwanza.

Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimekamilika Tanzania 0 - 0 DR Congo.

Kipindi cha pili kimeanza

Dakika,52 Taifa Stars wamefanya majaribo mawili lakini wameshindwa kutumia nafasi vyema.

Dakika, 73 DR Congo na Taifa Stars wamefanya Mabadiliko ya wachezaji

Ametoka Mudathri anaingia Mao. Kwa upande wa DRC anaingia Mayele.

Dakika 84 Mzize anatoka nafasi yake inachukuliwa na Mwalimu Hassan.

Dakika, 86 DRC wanapata goli

Dakika,93 DRC Meshakc Anawapatia goli la pili
Full time wapinzani 2 ccm 0
 
1729004166044.jpg
 
Back
Top Bottom