Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,856
- 5,430
Guinea naona wako na utulivu sana tofauti na sisi papatupapatu nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akisifiwa Rais wewe unagawikaje?Yaani huu Upumbavu unaboa Kabisa
Yaani nchi imekuwa Ya watu wa Hovyo sana kila jambo wao ni Fursa
Na fursa yenyewe Ya umimi.
Inaligawa Taifa
Ndiyo uwezo wetuGuinea naona wako na utulivu sana tofauti na sisi papatupapatu nyingi
Hamia Gaza. Rais lazima tumsifuHaina maana kwamba namchukia Rais , la!
Ila hii tabia ya kila jambo kutukuzwa Rais inakera.
Wafungwe tu hakuna namna
majamaa wanautulivu wa hali ya juu kuna dalili njema stars ya ccm kula chuma mbili kipindi cha piliIngawa ni mpinzani nimependa jamaa alivyoucontrol ule mpira ni kwa ufundi mno
Ni afadhali timu ya Tanganyika wafunge goli jioni wataweza kulilinda kuliko kufunga mchana.....itakuwa ngumu kulinda goli hilo.Its match day!!
Ni Tanzania Vs Guinea katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia Saa 10:00 Jioni.
Ni mchezo wa kufuzu AFCON ya mwaka 2025 pale Morocco ambapo kundi H Taifa Stars inahitaji ushindi wa namna yoyote ili ifuzu wakati Guinea wao wakihitaji ushindi au droo ili waweze kufuzu.
Saa 10:00 jioni kupitia Azam Sports 1HD, DStv pia kupitia Chaneli 225.
Mliopo Dar muende kwa wingi uwanjani, Kiingilio Bure.
Live updates zitakujia hapa..
Mpira umeanza ikiwa dakika 3
Dakika, 5 Taifa Stars wametengeneza nafasi nzuri sana hapa
Dakika, 10 Taifa stars wamendelea kutengeneza mashambulizi mengi bado kupata goli tu!
Dakika, 11 Saimon Msuva anakosa goli la wazi kabisa!
Dakika, 16 Stars wanafanya shambulizi kali sana ila Mussa Camara anadaka mpira huo!
Dakika, 20 Bado milango yote ni migumu kwa timu zote mbili.
Dakika, 35 si Stars wa Guinea ambaye amepata goli hadi sasa.
Dakika, 40 Guinea wanakosa kutumia nafasi ya wazi kufunga goli.
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimekamilika Taifa Stars 0 - 0 Guinea
Kwakipi Alicho kifanyaAkisifiwa Rais wewe unagawikaje?
Kunywa sumu ili uondokane na hiyo kero.Yaani huu Upumbavu unaboa Kabisa
Yaani nchi imekuwa Ya watu wa Hovyo sana kila jambo wao ni Fursa
Na Tukifungwa Walivyo wapuuzi kimyaa
Na fursa yenyewe Ya umimi.
Inaligawa Taifa
Kwahiyo yeye MunguKumsifia mwenye nyumba si kosa hata kama aliyefanya ni mtoto.
kwani Mungu amebinafsishwa anasikia pia maombi ya wana guineaTunaambiwa hapa kwenye kikao tuiombee Stars. Vipi wakuu mnaonaje huko kandanda
Samia ndio kaleta AfconKwakipi Alicho kifanya
Kama Tukishinda Mnamsifia na kwann Tukifungwa Mnakuwa kimya kumpa Lawama huyo Mungu wenu
Kabla Sijanywa Utakunywa WeweKunywa sumu ili uondokane na hiyo kero.
Ni za kweli bibiye.Hizi takwimu za mchongo..
Tanzania kamshinda kila kitu Guine mpka dhambi hapa namaanisha faulo lakini eti yy ndo ana asimilia 51
Kwani anatakiwa kupewa sifa ni Mungu tuu? Wote wanafanya vizuri Huwa Wanaonewa nini? Una matatizo kichwaniKwahiyo yeye Mungu
Anapewa Sifa tu
Mbona Hamkosoi Tukifungwa