Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa kubwa sana hili aiseeMzize kagoma kutoka
Huu ni uhuni kabisa.Yani Mzize anawavimbia makocha kweli??
Niko naUshindi wa leo ni mahususi kwa ajili ya Rais wetu mtukufu.baada ya mechi kuisha, mfungwe tu kelele zipunguo mjini, tufanye mambo mengine
Hpn nchi hii umezid msaah sna kila kitu mama mama shenz zaoIla mm nawaonea huruma wachezaji wetu hawana makosa..watieni moyo
Kamuambia kocha hajaumia bado anaweza kuendelea, unajua maana ya kugoma?Mzize kagoma kutoka
Wacha ago me tuMzize kagoma kutoka
Mzize kagoma kutoka
Mzize kagoma kutokagu
Mzize kagoma kutoka
Afadhali umeongea poitKamuambia kocha hajaumia bado anaweza kuendelea, unajua maana ya kugoma?
TunatolewaHkvi tuki draw tumetolewa?
Hakugoma. Makocha walidhani maumivu aliyonayo hawezi kuendelea.Kamuambia kocha hajaumia bado anaweza kuendelea, unajua maana ya kugoma?
Hahaha hahaWachezaji wa yanga hawana nidhamu Mzize anafikiri hapa yupo na wahuni wenzake wakina Gwamondi