kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Mambo yrnu😂😂Ahahah anawajua WaTz huyo...hachelewi kuona giza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yrnu😂😂Ahahah anawajua WaTz huyo...hachelewi kuona giza
Ngoja nitoke kidogo pakianza kuchangamka nirudi yanii kukitokea goli.. 🤣 🤣 🤣Umeanza vurugu
PunguaniIkulu ni office ya umma
Ikulu ni kama unavoenda Kwa Mwenyekiti wa mtaa
Piga hao Kizimkazi fc
Dunia ya ubepari hii lipa kifurushi au nenda kibanda umizaHata mechi za timu ya taifa tbc wanashindwa kuonesha halafu anatokea mtu anataka eti wananchi wawe wazalendo! Isitoshe timu ikishinda sifa anapewa mtu mmoja! Siwezi kuwa mnafiki naombea taifa stars ifungwe.
Guinea wapigwe hata moja game itachangamka.Game imepoa kimtimdo
Shida yote ya nini! Kwanza siyo mpenzi wa mpira kihivyo eti hadi nitafute sehemu ya kuangalia mpira hata ikibidi niende kibanda umiza,Dunia ya ubepari hii lipa kifurushi au nenda kibanda umiza