Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024

Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024

Its match day!!

Ni Tanzania Vs Guinea katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia Saa 10:00 Jioni.

Ni mchezo wa kufuzu AFCON ya mwaka 2025 pale Morocco ambapo kundi H Taifa Stars inahitaji ushindi wa namna yoyote ili ifuzu wakati Guinea wao wakihitaji ushindi au droo ili waweze kufuzu.

Saa 10:00 jioni kupitia Azam Sports 1HD, DStv pia kupitia Chaneli 225.

Mliopo Dar muende kwa wingi uwanjani, Kiingilio Bure.

Live updates zitakujia hapa..

Mpira umeanza ikiwa dakika 3

Dakika, 5 Taifa Stars wametengeneza nafasi nzuri sana hapa
Kikosi mkuu, wameanzaje.
Nasoma update leo niko mbali na uwanja/tv
Vipi mwitikio wa wananchi?
 
Kikosi mkuu, wameanzaje.
Nasoma update leo niko mbali na uwanja/tv
Vipi mwitikio wa wananchi?
IMG_4298.jpeg
 
Back
Top Bottom