Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024

Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024

Wapigwe tu
20241117_134033.jpg
 
Its match day!!

Ni Tanzania Vs Guinea katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia Saa 10:00 Jioni.

Ni mchezo wa kufuzu AFCON ya mwaka 2025 pale Morocco ambapo kundi H Taifa Stars inahitaji ushindi wa namna yoyote ili ifuzu wakati Guinea wao wakihitaji ushindi au droo ili waweze kufuzu.

Saa 10:00 jioni kupitia Azam Sports 1HD, DStv pia kupitia Chaneli 225.

Mliopo Dar muende kwa wingi uwanjani, Kiingilio Bure.

Live updates zitakujia hapa..
Hao Taifa star hata wakimfunga Guinea a.k.a Engonga magoli 400 bado hawatafika popote.Kiwango cha mpira kwa Tanzania ni kidogo sana ikilinganishwa na majirani zetu hasa nchi za Africa ya kati,kaskazini na maghareb.
 
Its match day!!

Ni Tanzania Vs Guinea katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia Saa 10:00 Jioni.

Ni mchezo wa kufuzu AFCON ya mwaka 2025 pale Morocco ambapo kundi H Taifa Stars inahitaji ushindi wa namna yoyote ili ifuzu wakati Guinea wao wakihitaji ushindi au droo ili waweze kufuzu.

Saa 10:00 jioni kupitia Azam Sports 1HD, DStv pia kupitia Chaneli 225.

Mliopo Dar muende kwa wingi uwanjani, Kiingilio Bure.

Live updates zitakujia hapa..
Guinea jitahidini msifanye makosa ya kufungwa na Stars. Tumeshawaandalieni sherehe hapa Conakry
 
Hii ni mechi ya kufa na kupona stars lazima ashindie hii mechi iwe mvua iwe jua. Kila heri
 
Ona Sasa ulivyo fala yaani hujui hata manufaa ya Timu kushinda?

1.Furaha,na mshikamano wa Kitaifa
2.Kuitqngaza Tanzania Kimataifa
3.Wachwzaji wetu Watapata fursa ya kuonesha vipawa vyao na kuuza uwezo wao
4.Ni Heshima ya Nchi na fahari
5.Mabalozi wa Utalii na hamasa zaidi ya Michezo.
Fala n ww dada mwajuma, kwahy hizo nchi zote zinazoshiriki afcon huwa zinapata hayo uliyoyasema hapo?
 
Juhudi binafsi za wachezaji zinaweza kutuvusha siyo kwa uwezo wa kocha.

Kila la heri Taifa stars, mechi ni ngumu kweli kweli, Guinea siyo watu wazuri.
 
Hii game itaoneshwa kwenye app gani? Au mwenye link ya stream hii game
 
Back
Top Bottom