Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao Taifa star hata wakimfunga Guinea a.k.a Engonga magoli 400 bado hawatafika popote.Kiwango cha mpira kwa Tanzania ni kidogo sana ikilinganishwa na majirani zetu hasa nchi za Africa ya kati,kaskazini na maghareb.Its match day!!
Ni Tanzania Vs Guinea katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia Saa 10:00 Jioni.
Ni mchezo wa kufuzu AFCON ya mwaka 2025 pale Morocco ambapo kundi H Taifa Stars inahitaji ushindi wa namna yoyote ili ifuzu wakati Guinea wao wakihitaji ushindi au droo ili waweze kufuzu.
Saa 10:00 jioni kupitia Azam Sports 1HD, DStv pia kupitia Chaneli 225.
Mliopo Dar muende kwa wingi uwanjani, Kiingilio Bure.
Live updates zitakujia hapa..
Guinea jitahidini msifanye makosa ya kufungwa na Stars. Tumeshawaandalieni sherehe hapa ConakryIts match day!!
Ni Tanzania Vs Guinea katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia Saa 10:00 Jioni.
Ni mchezo wa kufuzu AFCON ya mwaka 2025 pale Morocco ambapo kundi H Taifa Stars inahitaji ushindi wa namna yoyote ili ifuzu wakati Guinea wao wakihitaji ushindi au droo ili waweze kufuzu.
Saa 10:00 jioni kupitia Azam Sports 1HD, DStv pia kupitia Chaneli 225.
Mliopo Dar muende kwa wingi uwanjani, Kiingilio Bure.
Live updates zitakujia hapa..
Uwezo wa kuifunga hiyo timu kiufundi hakuna tusali sana, uliwaangalia wakati wanacheza na Congo Kinshasa!!!Hii mechi tunashinda 1-0 au 2-1
Tutashinda 2-0Hii mechi tunashinda 1-0 au 2-1
Shida iko wapi bossAcha kujikausha. Kinachokera ni kwamba wakishinda sifa zooote mnazihamishia kwa Rais.
Mnatukera Sana.
Fala n ww dada mwajuma, kwahy hizo nchi zote zinazoshiriki afcon huwa zinapata hayo uliyoyasema hapo?Ona Sasa ulivyo fala yaani hujui hata manufaa ya Timu kushinda?
1.Furaha,na mshikamano wa Kitaifa
2.Kuitqngaza Tanzania Kimataifa
3.Wachwzaji wetu Watapata fursa ya kuonesha vipawa vyao na kuuza uwezo wao
4.Ni Heshima ya Nchi na fahari
5.Mabalozi wa Utalii na hamasa zaidi ya Michezo.
Shida iko iliko boss.Shida iko wapi boss
Yes sirHkvi tuki draw tumetolewa?
Support Kizimkazi fcNipo hafu hafu....
Ikulu ni office ya ummaUlitaka upewe wewe? Huwa huoni wachezaji wakialikwa Ikulu kupongezwa?
By the way Samia si ndio anawapa hamasa au?