Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024

Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024

Mama, mama. mama, mama.
SI mfuatiliaji wa masuala ya mpira ila leo tukitandikwa hata goli mbili au tatu hivi nitafurahi sana lazima nipige konyagi ndogo na kitimoto choma kilo moja.
Masuala yanayohusu umoja wa kitaifa yakikabidhishwa kwa mtu au kikundi cha watu wenye itikadi za ki kabila, siasa au dini ni lazima umoja huo upotee. Viva Guinea, viva
 
Naibu Waziri wa michezo alisema ushindi dhidi ya Ethiopia ulikuwa ni ushindi wa mama kizimkazi.

Mimi nasema hivi, lolote baya liwakute Starz, timu ya Taifa ni timu yote sote na sio ya mtu au watu ama kikundi fulani.
 
Ona Sasa ulivyo fala yaani hujui hata manufaa ya Timu kushinda?

1.Furaha,na mshikamano wa Kitaifa
2.Kuitqngaza Tanzania Kimataifa
3.Wachwzaji wetu Watapata fursa ya kuonesha vipawa vyao na kuuza uwezo wao
4.Ni Heshima ya Nchi na fahari
5.Mabalozi wa Utalii na hamasa zaidi ya Michezo.
Acha kujikausha. Kinachokera ni kwamba wakishinda sifa zooote mnazihamishia kwa Rais.

Mnatukera Sana.
 
Its match day!!

Ni Tanzania Vs Guinea katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia Saa 10:00 Jioni.

Ni mchezo wa kufuzu AFCON ya mwaka 2025 pale Morocco ambapo kundi H Taifa Stars inahitaji ushindi wa namna yoyote ili ifuzu wakati Guinea wao wakihitaji ushindi au droo ili waweze kufuzu.

Saa 10:00 jioni kupitia Azam Sports 1HD, DStv pia kupitia Chaneli 225.

Mliopo Dar muende kwa wingi uwanjani, Kiingilio Bure.

Live updates zitakujia hapa..
Serhou Guirassy
Atatuazibu huyu leo, ni striker matata sana
 
Its match day!!

Ni Tanzania Vs Guinea katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia Saa 10:00 Jioni.

Ni mchezo wa kufuzu AFCON ya mwaka 2025 pale Morocco ambapo kundi H Taifa Stars inahitaji ushindi wa namna yoyote ili ifuzu wakati Guinea wao wakihitaji ushindi au droo ili waweze kufuzu.

Saa 10:00 jioni kupitia Azam Sports 1HD, DStv pia kupitia Chaneli 225.

Mliopo Dar muende kwa wingi uwanjani, Kiingilio Bure.

Live updates zitakujia hapa..
Wakati Yanga wanaingia uwanjani bure kwenye baadhi ya mechi, kuna watu waliwatukana sana wapenzi wa Yanga. Tuone kama bure ya leo matusi yataendelea.
 
Ona Sasa ulivyo fala yaani hujui hata manufaa ya Timu kushinda?

1.Furaha,na mshikamano wa Kitaifa
2.Kuitqngaza Tanzania Kimataifa
3.Wachwzaji wetu Watapata fursa ya kuonesha vipawa vyao na kuuza uwezo wao
4.Ni Heshima ya Nchi na fahari
5.Mabalozi wa Utalii na hamasa zaidi ya Michezo.
Unajua maana ya mshikamano wa kitaifa kuku wewe?
 
Back
Top Bottom