MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Mijamaa inaweza kupaki basi tu ili ifuzu afcon
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, wanatuzidi pointsHkvi tuki draw tumetolewa?
Acha kujikausha. Kinachokera ni kwamba wakishinda sifa zooote mnazihamishia kwa Rais.Ona Sasa ulivyo fala yaani hujui hata manufaa ya Timu kushinda?
1.Furaha,na mshikamano wa Kitaifa
2.Kuitqngaza Tanzania Kimataifa
3.Wachwzaji wetu Watapata fursa ya kuonesha vipawa vyao na kuuza uwezo wao
4.Ni Heshima ya Nchi na fahari
5.Mabalozi wa Utalii na hamasa zaidi ya Michezo.
Serhou GuirassyIts match day!!
Ni Tanzania Vs Guinea katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia Saa 10:00 Jioni.
Ni mchezo wa kufuzu AFCON ya mwaka 2025 pale Morocco ambapo kundi H Taifa Stars inahitaji ushindi wa namna yoyote ili ifuzu wakati Guinea wao wakihitaji ushindi au droo ili waweze kufuzu.
Saa 10:00 jioni kupitia Azam Sports 1HD, DStv pia kupitia Chaneli 225.
Mliopo Dar muende kwa wingi uwanjani, Kiingilio Bure.
Live updates zitakujia hapa..
Ulitaka upewe wewe? Huwa huoni wachezaji wakialikwa Ikulu kupongezwa?Acha kujikausha. Kinachokera ni kwamba wakishinda sifa zooote mnazihamishia kwa Rais.
Mnatukera Sana.
Wakati Yanga wanaingia uwanjani bure kwenye baadhi ya mechi, kuna watu waliwatukana sana wapenzi wa Yanga. Tuone kama bure ya leo matusi yataendelea.Its match day!!
Ni Tanzania Vs Guinea katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia Saa 10:00 Jioni.
Ni mchezo wa kufuzu AFCON ya mwaka 2025 pale Morocco ambapo kundi H Taifa Stars inahitaji ushindi wa namna yoyote ili ifuzu wakati Guinea wao wakihitaji ushindi au droo ili waweze kufuzu.
Saa 10:00 jioni kupitia Azam Sports 1HD, DStv pia kupitia Chaneli 225.
Mliopo Dar muende kwa wingi uwanjani, Kiingilio Bure.
Live updates zitakujia hapa..
Hili swali ulizaneni huko kwenye "Chawa Club". Msituulize sisi Wazalendo wa Taifa hili.By the way Samia si ndio anawapa hamasa au?
Unajua maana ya mshikamano wa kitaifa kuku wewe?Ona Sasa ulivyo fala yaani hujui hata manufaa ya Timu kushinda?
1.Furaha,na mshikamano wa Kitaifa
2.Kuitqngaza Tanzania Kimataifa
3.Wachwzaji wetu Watapata fursa ya kuonesha vipawa vyao na kuuza uwezo wao
4.Ni Heshima ya Nchi na fahari
5.Mabalozi wa Utalii na hamasa zaidi ya Michezo.
Kuku tena?😆😃😀😄Unajua maana ya mshikamano wa kitaifa kuku wewe?
Hawa watu ni wajinga sanaKuku tena?😆😃😀😄
Yaani wanavuruga nchi halafu wanaleta blah! Blah! za mshikamano.
Kupitiliza. Halafu ni wabobevu wa kushupaza shingo.Hawa watu ni wajinga sana
Ombi lako limekataliwa we chawa wa mama...Mizimu yote ya kisukuma naiomba iwe upande wa taifa star.
Acha kuabudu mizimu yupo YESU tu....Mizimu yote ya kisukuma naiomba iwe upande wa taifa star.
Hii ndio ikojeNipo hafu hafu....