Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024

Yaani huu Upumbavu unaboa Kabisa
Yaani nchi imekuwa Ya watu wa Hovyo sana kila jambo wao ni Fursa
Na Tukifungwa Walivyo wapuuzi kimyaa

Na fursa yenyewe Ya umimi.
Inaligawa Taifa
 
Ni afadhali timu ya Tanganyika wafunge goli jioni wataweza kulilinda kuliko kufunga mchana.....itakuwa ngumu kulinda goli hilo.

Mungu ibariki Tanganyika, Mungu wabariki wachezaji wa Tanganyika. Amina..
 
Yaani huu Upumbavu unaboa Kabisa
Yaani nchi imekuwa Ya watu wa Hovyo sana kila jambo wao ni Fursa
Na Tukifungwa Walivyo wapuuzi kimyaa

Na fursa yenyewe Ya umimi.
Inaligawa Taifa
Kunywa sumu ili uondokane na hiyo kero.
 
Kwakipi Alicho kifanya
Kama Tukishinda Mnamsifia na kwann Tukifungwa Mnakuwa kimya kumpa Lawama huyo Mungu wenu
Samia ndio kaleta Afcon

Samia ndio amekuwa anawpa ndege kusafiri Taifa stars

Samia ndio amekuwa anawatia moto sio tuu Taifa stars Bali Timu zote zinazoshieiki mashindano Kimataifa.

Samia amekuwa akiwapa pesa walifanya vizuri

Wewe umefanya kipi Hadi tukudigie badala ya Samia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…