900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
ila simba ni kilabu kubwa sana africaLeo ni vita ya magolikipa wa Simba nani ataonekana bora kumshinda mwenzie..hapa wana kazi kubwa ya kupalilia vibarua vya timu zao na za mataifa yao...
Kameze misumari maana atasigiwa na uchukie au upende huna Cha kumfanya 😂😂Kabla Sijanywa Utakunywa Wewe
Ulivyo Kiazi Pitia Ujinga Ulio uandikaSamia ndio kaleta Afcon
Samia ndio amekuwa anawpa ndege kusafiri Taifa stars
Samia ndio amekuwa anawatia moto sio tuu Taifa stars Bali Timu zote zinazoshieiki mashindano Kimataifa.
Samia amekuwa akiwapa pesa walifanya vizuri
Wewe umefanya kipi Hadi tukudigie badala ya Samia?
goli 3 umfunge pin pin wetu sahau ccm lazma wapigwe chuma angalau mbiliKipindi kijacho,tukopigwa moja tu,kazi imeisha.Tumewakosakosa sana,ingebidi tuwe hata na goli 3
Wameweka Historia.Leo ni vita ya magolikipa wa Simba nani ataonekana bora kumshinda mwenzie..hapa wana kazi kubwa ya kupalilia vibarua vya timu zao na za mataifa yao...
Keshatola.TOA MZIZEEEEEEEEE
HaonManula changamka acha kukaa na boli
Our very own MbappeHivi Kelvin P. John mshambuliaji wa fc Aalborg ya denmark hajaitwa kwenye timu ya taifa ya Tanzania
Ushamchanganya Mungu hapa. Kila akiitafuta Tanganyika uwanjani haioni.Ni afadhali timu ya Tanganyika wafunge goli jioni wataweza kulilinda kuliko kufunga mchana.....itakuwa ngumu kulinda goli hilo.
Mungu ibariki Tanganyika, Mungu wabariki wachezaji wa Tanganyika. Amina..